Pole Museee .. ni kusakubwa sana kukosea jina la mtu .. anyway nilikuwa na usongo na jazba ... ndo maana
anyway hapa tutakesha, at that age unafanya engagement unamvisha pete ya uchumba halafu without interference unamwacha kwa wazee anasoma kama utachangia fine kwani utakuwa unamwendeleza mchumba / mke.
Ukumchukuwa jumla jumla ni mateso, asome, awaze ya mume, awaze kazi ya ...... kunawengine wanakesha au wanataka asubuhi ataweza kweli kuwahi pia darasani ... remember mshika mawili mmoja humponyoka ... na awe na bahati hiyo yakupata mume wa kumuendeleza!
Otherwise kama hasomi then fine ila usije ukamrudisha nyumbani kwao ... eti ana mambo ya kitoto ... utakuwa unamuonea