Eti hii ni ARVs au PrEP msaada

tajiri wa mwanza

Senior Member
Mar 1, 2017
138
226
7e853687f30047ed5061a3c65dd946b9.jpg
e29055a9abacdaba83076e3799fa1520.jpg
 
Hizi thread zako hapa chini ni kweli mikasa yako ama chai tu? Maana kwenye nyuzi zako umesema uko fresh baada ya kupima. Sasa hivo vidonge unauliza kwa niaba ya mtu flani?Tatizo JF sasa hivi utani mwingi sana kwenye serious issues.

Vipimo vya MRI,ultrasound na scanner zinaweza kupima maralia au HIV ?

Mrejesho kuhusu vipimo vya HIV

https://www.jamiiforums.com/threads/nasubiri-majibu-ya-vipimo-vya-vvu.1233246/

Niko posta hapa ANGAZA ni maeneo gani?

Dua zenu kesho naenda kupima HIV kwa Mara ya kwanza
 
Haaaa mwaka huu nyuzi za kufumania ma arvs zimekuwa nyingi na hiki ni kielelezo tosha kuwa taifa linaenda kuangamia kwa gonjwa hili hatari la UKIMWI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom