Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Habari zenu wapendwa wote wa jukwaa letu pendwa la MMU.
Natumaini wote muwazima kabisa na ni buheri wa afya japokuwa ya kwangu si njema sana ila nashukuru nimeweza hata kuandika haya.
Nimekuwa nikisikia nikikutana na watu mbalimbali wakisema " Ningekuwa sijaoa ningekuoa wewe"
AU "Ningekuwa sijaolewa ningeolewa na wewe" Nimejaribu kuzitafakari hizi kauli nimekosa majibu hebu waungwana na wataalamu hebu nisaidieni?
Unaoa au kuolewa kwa lazima mpaka ufikie kusema maneno kama hayo???
Au nitamaa tu ndo zinasumbua? Ama ni nini hasa?? Hebu nisaidieni
Nawatakia maandalizi mema ya weekend.
DA
Natumaini wote muwazima kabisa na ni buheri wa afya japokuwa ya kwangu si njema sana ila nashukuru nimeweza hata kuandika haya.
Nimekuwa nikisikia nikikutana na watu mbalimbali wakisema " Ningekuwa sijaoa ningekuoa wewe"
AU "Ningekuwa sijaolewa ningeolewa na wewe" Nimejaribu kuzitafakari hizi kauli nimekosa majibu hebu waungwana na wataalamu hebu nisaidieni?
Unaoa au kuolewa kwa lazima mpaka ufikie kusema maneno kama hayo???
Au nitamaa tu ndo zinasumbua? Ama ni nini hasa?? Hebu nisaidieni
Nawatakia maandalizi mema ya weekend.
DA