Eti hapa nilikosea nini?

Kosa ulilofanya ni kutomnyang'anya mtaji wako, ungechukua hadi mtaji pmj na pesa ya usumbufu.
 
Nilikuwa kwenye mahusiano na mdada hivi mtu mzima, anafanya biashara ya kuuza vilevi.
KOSA LILIANZIA HAPA

Barmaid huwa wanapigwa hit and run

Hao wanawake wauzaji vinywaji vikali ni malaya waliojificha kwenye kivuli cha hiyo biashara ila ukweli ni kuwa wameshauza sana mbususu sasa umri umeenda hawana soko wanajiweka humo kuuza vinywaji na papa

Malaya ni malaya tu hata akistaafu. Hao ni kama kunguru hawafugiki

Pole sana mkuu

 
Sasa katika mahusiano yetu japo kuna wakati alini cheat nikamgundua, lakini aliniomba msamaha sana yakaisha.
Once cheater always a cheater.

Mwanamke msaliti huwa hasamehewi hata alie, apige magoti au ajigalagaze hapo chini

Wanawake wanawatawala wanaume mabwege kwa kutumia silaha 3
(1)Kulia/machozi
(2)Sex
(3)Drama


 
 
Wanaume tunaojielewa huwa tunawaacha wanawake pamoja na vitu tulivyowapatia.
Wewe ulikosea Sana mkuu kumnyang'anya vitu ulivyokuwa umempa.You need to man up and be a gentleman bro.
 
Raha jipe mwenyeeeeweee.....


Hv mwanamke tunavyowamwagia sperms huwa tunadai waturudishie...!!?
 
Huyo umekuta hana akili mwingine anakupa kesi ya kuiba au uvamizi ungejuta na kuja na hadithi nyingine siku nyingine honga kile huwezi kukumbuka na yeye hawezi kumbuka ili usiumie
 
Wanaume tunaojielewa huwa tunawaacha wanawake pamoja na vitu tulivyowapatia.
Wewe ulikosea Sana mkuu kumnyang'anya vitu ulivyokuwa umempa.You need to man up and be a gentleman bro.
Mnajielewa,au mnjigeuza shamba la bibi?
 
Kama ningekuwa ndo mimi siku ya kumuacha ningealika washkaji zangu wale chapombe concord kunywa vinywaji vya bei ya mtaji wangu niliodump hapo then naita guta nakusanya vitu vyangu vyote. Halafu ndo inakuwa mama jeni bye bye!
Huwa silei wanawake wapuuzi dizaini hii!
 
Kosa lako ni kuwekeza kwa mzinzi.
 
Acha ushamba sasa na wewe, yani kitu kina kueleza unataka kushauliwa, daaaah Yan hapo ulitakiwa umdai na pesa ya mtaji uliyomuongezea, yan kila kitu chako akupatie
 
Huna kosa, Ila ulifanya kosa uliporudiana nae alipokusaliti mwanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…