kibangubangu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 289
- 411
Binadamu bwana kwasababu yeye kaumbwa kwa material yanayo onekana kwa macho ya nyama anadhani kila kiumbe kinatakiwa kionekane au kishikike kinywe maji,kile ugali n.k
Sasa mtu anaenda katika sayari nyingine anasema hakuna viumbe kwasababu eti hajaviona na hakuna maji.Wewe aliyekwambia maji ni uhai ni nani?
Akili ya binadamu ni kiasi kidogo mno dhidi ya akili ya uumbaji wa ulimwengu huu,yani yeye anareflect maisha yake ya ki-fizikia na kutoa conclusion kifizikia.
Yaani anatamani kila kitu akione au akiguse.Dunia imewekwa maji,gravitational,oxygen n.k kwasababu kilicho ndani ya sayari hii ni kiumbe chenye material ambayo yanahitaji vitu hivyo.
Ndo maana ili uitawale dunia unahitaji uwezo wa kifizikia,kuinua kitu,kusogeza kitu n.k
Sasa wewe unaenda kwenye sayari nyingine unatoa mimacho yako ya nyama eti unatafuta viumbe usipo viona unasema hakuna.
Kama hamjui na wao hao wa sayari nyingine hua wanakuja huku na wakifika huku hua wanasema hakuna viumbe kwasababu hawaoni kiumbe kwa macho ya mifumo yao na pia hawaoni zile hali za kwenye sayari yao yaani wakiona mfano maji wanasema huku hakuna viumbe kwasababu inawezekana kwao maji hayatumiki kwa maisha yao kuishi!
Kuna moja ya sayari wanasayansi hua wanaenda wanazungukaaa weee wanasema hakuna viumbe kumbe hiyo sayari ndiyo mbinguni Viumbe wa kule hua wanaangalia tu wanacheeeeka!
"Kibangubangu"
Sasa mtu anaenda katika sayari nyingine anasema hakuna viumbe kwasababu eti hajaviona na hakuna maji.Wewe aliyekwambia maji ni uhai ni nani?
Akili ya binadamu ni kiasi kidogo mno dhidi ya akili ya uumbaji wa ulimwengu huu,yani yeye anareflect maisha yake ya ki-fizikia na kutoa conclusion kifizikia.
Yaani anatamani kila kitu akione au akiguse.Dunia imewekwa maji,gravitational,oxygen n.k kwasababu kilicho ndani ya sayari hii ni kiumbe chenye material ambayo yanahitaji vitu hivyo.
Ndo maana ili uitawale dunia unahitaji uwezo wa kifizikia,kuinua kitu,kusogeza kitu n.k
Sasa wewe unaenda kwenye sayari nyingine unatoa mimacho yako ya nyama eti unatafuta viumbe usipo viona unasema hakuna.
Kama hamjui na wao hao wa sayari nyingine hua wanakuja huku na wakifika huku hua wanasema hakuna viumbe kwasababu hawaoni kiumbe kwa macho ya mifumo yao na pia hawaoni zile hali za kwenye sayari yao yaani wakiona mfano maji wanasema huku hakuna viumbe kwasababu inawezekana kwao maji hayatumiki kwa maisha yao kuishi!
Kuna moja ya sayari wanasayansi hua wanaenda wanazungukaaa weee wanasema hakuna viumbe kumbe hiyo sayari ndiyo mbinguni Viumbe wa kule hua wanaangalia tu wanacheeeeka!
"Kibangubangu"