usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 329
Juzi nilipita Dar kulikuwa na kamvua kwa muda ,nyumba niliofikia wanakaa vijana wa Kiume kama vyumba vitatu wamepangisha nahisi ni wanafunzi wenza na G alienialika nifikie hapo kwake kumpunguza Baridi.
Nilishangaa sana kuona vijana wa Kiume wale Wa dar Wanalalamika barid kiasi cha kuvaa Masweta.
Nikasema hawa wakija home Mbeya na Kule Rungwe tutakuwa tunawakokea moto wanaota tu...
Vijana wa Kiume Kupenda joto.!!!Ndio maana baadhi ya Wanaume wa Dar mnatutukanisha Wanaume Wengine na Chips Mayai zenu.
We Dar kunabaridi gani hapo ata Mvua Inyeshe hadi Mafuriko??
Acheni Kudeke.Mje shamba kula Dona
Nilishangaa sana kuona vijana wa Kiume wale Wa dar Wanalalamika barid kiasi cha kuvaa Masweta.
Nikasema hawa wakija home Mbeya na Kule Rungwe tutakuwa tunawakokea moto wanaota tu...
Vijana wa Kiume Kupenda joto.!!!Ndio maana baadhi ya Wanaume wa Dar mnatutukanisha Wanaume Wengine na Chips Mayai zenu.
We Dar kunabaridi gani hapo ata Mvua Inyeshe hadi Mafuriko??
Acheni Kudeke.Mje shamba kula Dona
bro. Swala la barid vs joto linategemea sana na maeneo. Unajua m2 akitoka nchi kama russia apo rungwe anatembea kifua waz tu. So ukikaa dsm kw amuda mrefu mwili uka adapt hali ya joto, ikija barid kdogo tu inahis barid kali hata kama ulitoka mbeya/rungwe. Thats normal 