Eti, BAVICHA Mbeya yamvaa Naibu Spika!!

Eti, BAVICHA Mbeya yamvaa Naibu Spika!!

hapo kwenye red, Nani kakuuliza?
Hata hii ya buku saba ilifanyiwa utafiti wa kutosha, mwanaume mzima huwezi kushinda hapa JF ukitokwa povu kwa kutetea magamba bila ujira!

Na wewe jaribu!
Kama Shemeji hatakufukuza kwake!
Una bahati umenunuliwa simu! Endelea kuponda, wenzako tunatafuta data!
 
Na wewe jaribu!
Kama Shemeji hatakufukuza kwake!
Una bahati umenunuliwa simu! Endelea kuponda, wenzako tunatafuta data!
Naogopa kufukuzwa mkuu, we endelea kusaka data tu! ila historia inaonyesha, hujawahi kupost kitu cha maana hapa jamvini!
 
that's poor! upuuz mtupu mleta thread! kaimbe taarabu.
 
wananiita sugu mzee wa vurugu,wananiita nani?sugu moto chini aah sugu moto chini!!
 
Wana JF!
Katika hali ya kushangaza vijana wa BAVICHA Mbeya wamelaani kitendo cha Mbunge wao Sugu kweli kweli kutupwa kama Gunia!

Mbona wasimlaumu Mbowe ambae alikuwa chanzo cha tatizo??

Na pia wajiulize mbona sio wabunge wengine wa Chadema ni Sugu aliyetupwa nje ya Bunge!!?? Au kwakuwa yeye ni SUGU!

Utajifunza vipi BILA kuchafuka??

Pumba....
 
Back
Top Bottom