NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
- Thread starter
- #21
Kama uko njiani unaelekea Mbeya hiyo taarifa yako umeipata wapi! weka source!!! Kiherehere tu....
Mimi ni mtu wa kufanya utafiti hasa wa kisiasa!
Lengo la kwenda Mbeya ni kujua mapokeo ya wapiga kura wa Mbeya juu ya swala la Sugu mbunge wao na tukio lilompata.
Mimi sikai kwenye keyboard au simu na kuponda mada za watu, nafanya utafiti!
Tutoke nje ya Box jamani!