NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Wana JF!
Katika hali ya kushangaza vijana wa BAVICHA Mbeya wamelaani kitendo cha Mbunge wao Sugu kweli kweli kutupwa kama Gunia!
Mbona wasimlaumu Mbowe ambae alikuwa chanzo cha tatizo??
Na pia wajiulize mbona sio wabunge wengine wa Chadema ni Sugu aliyetupwa nje ya Bunge!!?? Au kwakuwa yeye ni SUGU!
Utajifunza vipi BILA kuchafuka??
Katika hali ya kushangaza vijana wa BAVICHA Mbeya wamelaani kitendo cha Mbunge wao Sugu kweli kweli kutupwa kama Gunia!
Mbona wasimlaumu Mbowe ambae alikuwa chanzo cha tatizo??
Na pia wajiulize mbona sio wabunge wengine wa Chadema ni Sugu aliyetupwa nje ya Bunge!!?? Au kwakuwa yeye ni SUGU!
Utajifunza vipi BILA kuchafuka??