Eti ananichukia sana...

kaka achana na huyo mtu mana anaweza kukuharibia mahusiano yako na mchumba wako, muhimu mueleweshe zaidi huyo mchumba wako ili wote mkae mkijua kuwa huyo anaweza kuwa adui wa kuharibu mahusiano yenu, na muwe naye makini hasa huyo mchumba wako. Muhimu ni kujiweka sawa wewe na mwenzako, mfunge vioo kabisa kwani sio wote wanapenda kuona wawili wanapendana...na inawezekana yeye hapati hata wa kumpa salamu,na labda alitegemea labda angeluwa wako ila ukaenda kwa mwingine sasa frustration yake anataka kukusambazia na wewe...ACHANA NAYE WAPO WENGI HAO....hata kwetu wapo!
Wadau wa jamii napenda kwanza niwajulie hali habari zeinu bana...
Kuna mtu ananitesa sana anafanya nisijisikie poa coz...nilipokua mdogo yani ile miaka ya kubarehe kuna msichana hapa mtaani nilitokea kumpenda tena sana cha kwanza shep na umbo na vingine vingi vilinifanya nimpende sana huyu mtu....tabia nilikua naiju kimtindo coz nimekua nae nimesoma nae.....
Ikatokea siku nika mmwaga live kama vipi nataka ni dese nae kama vp....demu hakunijibu zaidi tuligombana sana akipita ananifyonya ananibinulia domo mpaka leo ni zaidi ya miaka kumi sasa bado ni hivyo hivyo kama nimemuudhi jana...hii kitu mimi inaniuma sana coz ni mtu ambae tunatoka mahala pamoja tunajuana kuanzia wazazi na ndugu wote sasa ni nini nimemuudhi huyu....tena anamwambia hata mchumba wangu kua bwana ake simpendi..... Nifanyaje wadau!
 
Mimi ndo maana huwa sitongozagi mpaka nichekewechekewe tena sanaaa....yaani mpaka nione nimebaki kuambiwa tu kwa maneno lkn dalili zote tayari,ndo naangusha sera,hiyo style hunisaidia sana kwani mara nyingi ile nikianza kumwaga sumu tu kabla haijamwagika vizuri tayari nishaitikiwa "nimekubali"
 
hiyo live ulimwaga vip????

mbele ya kadamnasi?????

da noooo haikua aje kiivyo coz nilimuibukia kimtindo den kuna shost flan 2lisoma wote nini akajaribu kukaa kati ndio vp mzee siku hiyo nikaingia kichwa kichwa....babu bora ata ningevumilia tuu mpaka nizoee ile hali lakini najuta alifanya adi washikaji wajue iwe gumzo kitaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom