Mbona vyombo vingine vya habari vinasema hali yake imeimarika?
hii habari ilikuwa kwenye gazeti la Nipashe la jana ila nashangaa sehemu nyingi sijaiona. Pia kumbuka The East Africani walitoa 'angalizo' la hili suala tangu Jumamosi iliyopitaMkuu New York Times ni kitu ingine kabisa
Mkuu New York Times ni kitu ingine kabisa
Mkuu safari hali inaweza kua mbaya sana au ameshafariki lakini nina wasi wasi hii habari sio kutoka New York Times,mtu kachakachua.
Soma vizuri angalia sehemu waliomnukuu OBAMA, Obama kaita Kenya birthland yake? Sehemu nyingine Cnn wameacha kuonesha mambo ya kina tom crusie na snookie? CNN na mambo ya Snookie wapi na wapi. Kuna mambo memngi sana inaonesha imechakachuliwa hizo ndio chache.
Waziri Mkuu wa Ethiopia Ndg Meles Zenawi amefariki dunia jana Jumanne baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa unaodhaniwa kuwa ni kansa ya ubongo. Mungu amweke mahala pema peponi.
(In bold brown)Does accepting a military base in a country that never contravenes any international law amount to being a puppet? Is Cuba an American's puppet? (In bold blue) I believe it is the Ethiopians who stand better to judge him, are you an Ethiopian to judge him thus? Are you sure that he has done absolutely nothing for his country? Is your country any better than Ethiopia; be it Kenya, Somalia, Tanzania or any neighbouring country? Have you recently been to the country?He was a puppet, he allowed hie country to used as base,and jail for 100's of muslim from around the world,he was no diferent with mubarak of eygpt,
he stole elections,he has don nothing to his people to deserve the praise . He was just dancing to his masters tune...
In 2008-10 thoundands of eithiopians perished to due man made hunger and and poverty,
he was used to send his army to kill somalis,
now he has to return to his master and he will answer to all deaths he caused in somali .
Wanajamiiforum habari zilizo andikwa humu janvini zikidai kuwa waziri mkuu wa Ethiopia amefariki sio za kweli jamaa bado yuko hai anaendelea kulicover taratibu.
source: EATV