ATCL haipo kwa ajiri ya kutengeneza faida ipo kwa ajiri ya kutoa huduma na kubust sekta zingine kama utaliiATCL yenyewe inatengeneza faida kubwa sana ndio mana iko mfukoni mwameko...yani hesabu zote ziko kwa dotto kweli awamu hii tunatawaliwa na genge la majambazi
PimbiATCL haipo kwa ajiri ya kutengeneza faida ipo kwa ajiri ya kutoa huduma na kubust sekta zingine kama utalii
Pimbi
Daaaah hivi bado tunao hawa?ATCL haipo kwa ajiri ya kutengeneza faida ipo kwa ajiri ya kutoa huduma na kubust sekta zingine kama utalii
ATCL haipo kwa ajiri ya kutengeneza faida ipo kwa ajiri ya kutoa huduma na kubust sekta zingine kama utalii
wale illegal immigrant kule kuna tatizo la ukabila kuna kabila serikali imelisahau kabisa na hawajasoma ndio wanaamua kujikataa kutafuta maisha kwingine kingine ni ukame vitaWhat are those profit for while their people are illegal immigrants in many nearby countries
wale illegal immigrant kule kuna tatizo la ukabila kuna kabila serikali imelisahau kabisa na hawajasoma ndio wanaamua kujikataa kutafuta maisha kwingine kingine ni ukame vita
Tena Pimbi MajiPimbi
Ilikuwaje sisi tukasimamisha huduma wakati hatukufanya lockdown? Halafu kwanini Rwanda Air na Ethiopian Airways ndio wanabeba minofu ya samaki na maua kutoka Mwanza na Arusha wakati madege yetu yamepaki?Dunia nzima ingeshaa iwapo wangeshindwa kutengeneza faida!... Ikumbukwe kuwa Ethiopian Airlines hawakusitisha huduma zao hata wakati wa janga la UVICO-19... Faida ni kitu kilichotegemewa.
yule waziri mkuu wao anajitaidi kuwaunganisha ila anapigwa vita sana walisubutu hadi kutaka kumuuaHow do ethiopian airline support that
yule waziri mkuu wao anajitaidi kuwaunganisha ila anapigwa vita sana walisubutu hadi kutaka kumuua
Mimi siyo msemeji wa ATCL, naamini kama wanapita humu watakupa ufafanuzi utakaokuridhisha. COVID 19 imetokea wakati ambapo ATCL ilikuwa imeanza kufungua baadhi ya route zake za zamani na nyingine mpya za mashariki ya mbali. Baada ya COVID 19, nchi nyingi zilifunga anga zake na baadaye sisi pia kufunga anga yetu.Ilikuwaje sisi tukasimamisha huduma wakati hatukufanya lockdown? Halafu kwanini Rwanda Air na Ethiopian Airways ndio wanabeba minofu ya samaki na maua kutoka Mwanza na Arusha wakati madege yetu yamepaki?
Nikilinganisha na first jet, natofautiana na wewe..ATCL haipo kwa ajiri ya kutengeneza faida ipo kwa ajiri ya kutoa huduma na kubust sekta zingine kama utalii