Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Ethiopian airlines wametutoa kimaso maso Waafrika hasa kipindi hiki cha COVID-19 (new Variant - Omicron travel ban) toka ijumaa tulikwama OR Tambo baada ya Qatar kutukataa tulipokua tunaenda Doha kwa Business Meeting Kisha Dar.
Sasa pale pale tukanunua tiket ET tukaungia ADDIS vichwa ngumu mpaka leo wamebak SA kwa gharama zao
Sasa pale pale tukanunua tiket ET tukaungia ADDIS vichwa ngumu mpaka leo wamebak SA kwa gharama zao