Ethiopia yawa nchi ya kwanza duniani kupiga marufuku magari yanayotumia mafuta. Ulaya inafuata 2035

kwanza hawa waarabu ni wajinga sana laiti wangekuwa na akili wangeacha kuuza mafuta kwa wiki moja tu kisha ukajipimie
Hao unaowaita wajinga,wametumia rasilimali zao kujitajirisha na kujenga nchi zao,wewe ambae sio mjinga na ni mwerevu una kila aina ya rasilimali ila mpaka leo huna umeme wa uhakika,na maisha ya watu bado ni duni.
 
Unajua marekani na russia ndio moja ya nchi zenye oil reserve kubwa duniani? Na unajua makampuni mengj ya mfuta uarabuni ni ya wazungu kamaa total, shell eyc ndio wanaingiza hela nyingi kwa biashara hii ya mafuta? Kwa akili yako kuna siku utapenda kutumia gari la umeme uache la petrol au diesel? Huko ulaya walijaribu hadi leo magari ya umeme yameproof unreliable mafuta tupo nayo milele, hata hao ethiopia watahangaika watarudi tu kwenye mafuta hakuna namna, hizo ndege zao watarusha kwa umeme?
Huku unaposema walishindwa wala hawakuwahi kushindwa. Hawakufanya sababu hawakuwa ma sheria wala sera. Sasa hivi tayari wana hivyo vyote.

Ulaya sasa hivi wameshaamua kuachana na matumizi ya mafuta. Norway sasa hivi hauruhusiwi kuingiza gari isiyotumia umeme, wameamua, na sasa wanmeanza kutekeleza and they are not bluffing.
 
Hayo magari yaliyopigwa marufuku yalikuwa yakiagizwa kwa hela ipi?
Fuatilia utajua vizuri crisis walonayo miaka hii miwili kwenye forex kama kuna mtu anaubavu wa kuagiza gari zaidi ya mashirika tena napo kwa mbinde sana.
 
Huku unaposema walishindwa wala hawakuwahi kushindwa. Hawakufanya sababu hawakuwa ma sheria wala sera. Sasa hivi tayari wana hivyo vyote.

Ulaya sasa hivi wameshaamua kuachana na matumizi ya mafuta. Norway sasa hivi hauruhusiwi kuingiza gari isiyotumia umeme, wameamua, na sasa wanmeanza kutekeleza and they are not bluffing.
Norway kanchi kana watu sijui laki sita nako unakahesabu kweli be serious, hakuna nchi yoyote kubwa inaweza kuachana na magari ya mafuta haitotokea wanahangaika tu na wameshayaleta soko limekataa its all about business and money not emotions, hivi unadhani who runs the fuel business kama si marekani na washirika wake on back door? Unadhani marekani yupo tayari kupoteza hela zote hizo? Hizo sheria marekani angezitaka angeshaziweka na dunia nzima tungezifuata tutake tusitake
 
Maamuzi ya kidwanzi hayo, nchi yao bado haina raia wenye uwezo wa kumudu hizo EV, plus mafundi wa hizo EV, hili sio suala la kukurupuka,
Kwanza huo umeme wa uhakika wanao? Umesambaa vijiji vyote ?
 
Norway kanchi kana watu sijui laki sita nako unakahesabu kweli be serious, hakuna nchi yoyote kubwa inaweza kuachana na magari ya mafuta haitotokea wanahangaika tu na wameshayaleta soko limekataa its all about business and money not emotions, hivi unadhani who runs the fuel business kama si marekani na washirika wake on back door? Unadhani marekani yupo tayari kupoteza hela zote hizo? Hizo sheria marekani angezitaka angeshaziweka na dunia nzima tungezifuata tutake tusitake
Kwa hiyo Norway ina population ya watu laki sita?
Seems najadiliana na mtu ambaye hata hajielewi. You are full of wishes.

Ukiulizwa wewe na population ya milioni 67, landsize kubwa na all the resources mna nini cha kujivunia bado hutakuwa na jibu.

Unaposema haitatokea, wenzako wameshaanza, na tayari wana target ya kufika huko na kwao hiyo nishati ni more cheap when compared na hizo fuels, sasa sijui unachokibishania hapo ni kipi?
Yaani energy wanayoweza ku produce nchini mwao kwa urahisi iwe haiwezekani bali kuendelea kuwa tegemezi kwa source of energy kutoka nchi nyingine ndiyo iwe rahisi? Au unadhani huwa wanakurupuka tu!?
 
Kwa hiyo Norway ina population ya watu laki sita?
Seems najadiliana na mtu ambaye hata hajielewi. You are full of wishes.

Ukiulizwa wewe na population ya milioni 67, landsize kubwa na all the resources mna nini cha kujivunia bado hutakuwa na jibu.

Unaposema haitatokea, wenzako wameshaanza, na tayari wana target ya kufika huko na kwao hiyo nishati ni more cheap when compared na hizo fuels, sasa sijui unachokibishania hapo ni kipi?
Yaani energy wanayoweza ku produce nchini mwao kwa urahisi iwe haiwezekani bali kuendelea kuwa tegemezi kwa source of energy kutoka nchi nyingine ndiyo iwe rahisi? Au unadhani huwa wanakurupuka tu!?
GAri la umeme ni expensive na unreliable battery hazikai muda mrefu na challenge zimekuwa nyingi kuliko mafanikio, kwa kanchi kadogo kama norway unaweza hata kutumia baskeli ukafanya shughuli zako , ila nchi nyingi zimejaribu wameangukia pua , hii ni biashara toyota alishawaambia kuwa electric cars zitakuwepo as an option ila kuachana na petrol au diesel duniani ni kitu hakiwezekani , makampuni ya magari yatakufa as yatakosa wateja as they are twice expensive than gasoline cars sasa utamuuzia nani?soma link hapo chini

 
Hao unaowaita wajinga,wametumia rasilimali zao kujitajirisha na kujenga nchi zao,wewe ambae sio mjinga na ni mwerevu una kila aina ya rasilimali ila mpaka leo huna umeme wa uhakika,na maisha ya watu bado ni duni.
nadhani hukunielewa soma tena utanielewa
 
Two strokes hazipo tena zishaishaga. Saivi ni four strokes pikipiki karibu zote unazoona.

Halafu ukiwa na mawazo ya hapo hapo unaweza kuzipiga marufuku bodaboda, ukajiona mwanamazingiraaaaa

Lakini kimbembe kinakuja je kama kila msafiri wa boda atahamia kwenye kigari, je? Umejiandaa kuitawala hiyo foleni.

Mi nnaona kama kila msafiri mmoja wawili watapanda bodaboda basi miji itapendeza kuliko kujazwa migari.....tuuuu

Kuhisu mazingira kama hint tu. Hivi unajua kwa idadi yetu ya viwanda na idadi yetu ya mapori ni kwamba hatuna deni na dunia kwa habari ya uchafuzi wa mazingira? Kiukweli tulioaswa kuwa tunalipwa na mataifa makubwa kwa misitu yetu

Una uhakika 2 stroke engines hazipo tena duniani? Pollution factor yake iko Je kulinganisha na four stroke engines? Kumbe wapi pa kuanzia kupiga ban kama tuna akili timamu?
 
Hao unaowaita wajinga,wametumia rasilimali zao kujitajirisha na kujenga nchi zao,wewe ambae sio mjinga na ni mwerevu una kila aina ya rasilimali ila mpaka leo huna umeme wa uhakika,na maisha ya watu bado ni duni.
hao waarabu wamebarikiwa na hakunaanaeweza kushindana nao fikiria tu kwanza waache kuuza mafuta wiki moja tu hali itakuwaje dunia nzima itayumba kwa makelele kwa ufupi tu wameshika uchumi wa dunia
 
GAri la umeme ni expensive na unreliable battery hazikai muda mrefu na challenge zimekuwa nyingi kuliko mafanikio, kwa kanchi kadogo kama norway unaweza hata kutumia baskeli ukafanya shughuli zako , ila nchi nyingi zimejaribu wameangukia pua , hii ni biashara toyota alishawaambia kuwa electric cars zitakuwepo as an option ila kuachana na petrol au diesel duniani ni kitu hakiwezekani , makampuni ya magari yatakufa as yatakosa wateja as they are twice expensive than gasoline cars sasa utamuuzia nani?soma link hapo chini

1708064436480_image_123650291.JPG
image_123650291.JPG
 
Back
Top Bottom