Ethiopia yawa nchi ya kwanza duniani kupiga marufuku magari yanayotumia mafuta. Ulaya inafuata 2035

Nchi ya Ethiopia imepiga marufuku uingizaji magari ya kutumia Mafuta rasmi kuanzia mwaka huu.

Inakuwa Nchi ya kwanza Kuchujua hatua hiyo hapa Duniani huku Ulaya ikiwa imeweka deadline yake kufika 2035 hakuna gari ya Mafuta itaruhusiwa Barabarani.

My Take
Naunga mkono hoja Kwa sababu Kwa nini utumie Dola kuagiza Mafuta wakati Kuna alternative?

Tanzania tuige mfano maana tuna gas ya kutosha Kwa nini tuendelee kutumia Mafuta?
View attachment 2902269
Ethiopia hii hii ambayo kila siku vijana wake wanakufa kama mizoga kwenye makotena wakikimbia ugumu wa maisha au ile ya Haile Sellesie? HAWAWEZI NARUDIA TENA HAWAWEZI
 
Nchi ya Ethiopia imepiga marufuku uingizaji magari ya kutumia Mafuta rasmi kuanzia mwaka huu.

Inakuwa Nchi ya kwanza Kuchujua hatua hiyo hapa Duniani huku Ulaya ikiwa imeweka deadline yake kufika 2035 hakuna gari ya Mafuta itaruhusiwa Barabarani.

My Take
Naunga mkono hoja Kwa sababu Kwa nini utumie Dola kuagiza Mafuta wakati Kuna alternative?

Tanzania tuige mfano maana tuna gas ya kutosha Kwa nini tuendelee kutumia Mafuta?
View attachment 2902269

Wewe shida yako ni dola au nishati ya umeme kwaajili ya magari,mbona unakua punguani hivi.
 
Ethiopia has been a major investor in its energy infrastructure in recent years. For example, Africa's largest hydroelectric power plant is due to be inaugurated soon, having already been partially commissioned on 20 February 2022 with the commissioning of the first two turbines with a total capacity of 750 megawatts.

Wenzetu wana umeme wa uhakika, sisi tunakatiana umeme kwa sababu za kijinga jinga hatuwezi fuata uamuzi kama huu...
 
Ngumu Kumeza Sera Itakuwa Ngumu Sana Kuelezea Maana Magari Ya Umeme Kuingia Africa Bado Sana.

Kama Magari Ya Mafuta Tu Nchi Nyingi Zinaagiza Magari Yaliyopitwa Na Wakati.

Sababu Bado Umaskini Ni Mkubwa.
ninefika Ethiopia , kukwel licha ya kuwa wako vitan ila wale sio waafrika jamii yao imeelimika sana
 
Nchi ya Ethiopia imepiga marufuku uingizaji magari ya kutumia Mafuta rasmi kuanzia mwaka huu.

Inakuwa Nchi ya kwanza Kuchujua hatua hiyo hapa Duniani huku Ulaya ikiwa imeweka deadline yake kufika 2035 hakuna gari ya Mafuta itaruhusiwa Barabarani.

My Take
Naunga mkono hoja Kwa sababu Kwa nini utumie Dola kuagiza Mafuta wakati Kuna alternative?

Tanzania tuige mfano maana tuna gas ya kutosha Kwa nini tuendelee kutumia Mafuta?

=========

Ethiopia becomes first country to ban internal combustion engines: Only EVs allowed​


While in the past less affluent countries have been the dumping ground for second-hand cars from other nations, Ethiopia is now the first country in the world to ban the import of all cars that are not electrically powered. In contrast to the European Union, which has a ban on the sale of cars with internal combustion engines from 2035, Ethiopia is about ten years ahead of schedule:

- Minister Alemu Sime
Having spent around $6 billion last year importing fossil fuels, Ethiopia's Ministry of Transport and Logistics has just decided to allow only electric vehicles to enter the country. One of the reasons for this drastic decision, according to Minister Alemu Sime, is the country's lack of access to cheap foreign currency. This makes it difficult to import petrol and diesel due to economic pressures:

- Alemu Sime according to APA News
At the same time, Ethiopia has been a major investor in its energy infrastructure in recent years. For example, Africa's largest hydroelectric power plant is due to be inaugurated soon, having already been partially commissioned on 20 February 2022 with the commissioning of the first two turbines with a total capacity of 750 megawatts.

However, full activation of the Grand Ethiopian Renaissance Dam (GERD) is not yet complete. The hydropower plant will not reach its full design capacity of 6,000 megawatts, and experts estimate that the capacity will be around 3,000 megawatts.

Nevertheless, by taking advantage of seasonal fluctuations and other energy sources, it can make an important contribution to the country's electricity supply. The next challenges are the improvement of the charging infrastructure and the reliability of the country's electricity supply. It is not yet known exactly when the new regulation will come into force and whether or not it will also apply to second-hand cars.
Wanajua Wana umeme mwingi kutoka bwawa lao la gerd


Na sisi tuige mfano bwawa la Nyerere likianza
 
Back
Top Bottom