Ethiopia: Updates on war against TPLF

Unakijua chama kilichomuweka Abbiy madarakani? Msimamo wao ulikuwa vipi dhidi ya Addis?

Pia unajua ni kwanini walifikia hatua ya kuidai Addis au walikurupuka tu from nowhere?

Hebu soma uone dhahama waliyoipitia na wanaoipitia waoromo kisa tu hawana nguvu za kupindua serikali kama Amharans na Tigrayans regardless ya contribution yao kwenye uchumi wa nchi.

Kuhusu kuidai Addis waache waidai tu kama serikali imegoma kuwapelekea maendeleo kwenye sehemu nyingine. Mekelle imekuwa maarufu na imeendelezwa kwa kasi baada ya watigray (Zenawi) kushika madaraka na kufanywa kuwa kitovu cha nguvu za kijeshi cha nchi lakini still imebaki mikononi mwa watigray sasa Addis kwanini isirudishwe kwa Oromo?

Pia mfano wako wa wazarami hauna mashiko, Tz hatuna majimbo wala tawala za kikabila hivyo tafita mifano inayoendana na mfumo wa kiutawala wa Ethiopia.
Mkuu unaonekana ni mkabila sana , hatuezi ongoza nchi kwa misingi ya ukabila , kwann upaone maeneo ya waoromo ni muhimu kuliko kwa wa amhara au tigray ?
 
Mkuu unaonekana ni mkabila sana , hatuezi ongoza nchi kwa misingi ya ukabila , kwann upaone maeneo ya waoromo ni muhimu kuliko kwa wa amhara au tigray ?
Mkuu mimi sio mkabila hata kidogo, lakini unapozungumzia Ethiopia basi jua kuwa unazungumzia ukabila. Yaani ukabila Ethiopia ndiyo kila kitu. Hupati huduma nzuri ila ni kabila lako kwanza ndiyo litakaloamua na ninaongea hivyo kwa kuyaona sio kuhadithiwa. Nimeishi ethiopia kwa miaka mitatu. Yaani si maofisini wala mitaani ni ukabila tu, hadi maeneo ya kuishi kwenye miji mikubwa kama Addis na Hawasa watu wanaishi kimakabila tu.

Yaani ni vigumu kupata picha halisi ukiichukulia Ethiopia kuifananisha na muingiliano wa kimakabila kama Tz
 
Mkuu mimi sio mkabila hata kidogo, lakini unapozungumzia Ethiopia basi jua kuwa unazungumzia ukabila. Yaani ukabila Ethiopia ndiyo kila kitu. Hupati huduma nzuri ila ni kabila lako kwanza ndiyo litakaloamua na ninaongea hivyo kwa kuyaona sio kuhadithiwa. Nimeishi ethiopia kwa miaka mitatu. Yaani si maofisini wala mitaani ni ukabila tu, hadi maeneo ya kuishi kwenye miji mikubwa kama Addis na Hawasa watu wanaishi kimakabila tu.

Yaani ni vigumu kupata picha halisi ukiichukulia Ethiopia kuifananisha na muingiliano wa kimakabila kama Tz
Lakini hata Tanzania ilikuwa ya kikabila until someone rolled the sleeves and decided to do something. Don't you think Ethiopia need someone to do something about it? Au ndio inabidi iwe fate yao, unavyoona wewe? Just askin'
 
Salaam,

Kwa mahaba yangu Nitakua naweka updates za mapigano yanayoendelea huko Ethiopia Kati ya Jeshi la Serikali na Waasi wa TPLF na Jeshi lao liitwalo TDF.

Kwanza Kuna vitu vya kuweka sawa

1. Vita siyo Kati ya Ethiopia na Jimbo la Tigray. Bali ni Vita ni Kati ya Ethiopia na Chama Cha TPLF. Chama hicho ndiyo kina Jeshi lake liloitwa TDF (Tigray Defence Force). Chama hiki wafuasi wake wengi ni watu wa Jimbo la Tigray ila siyo wote. Takwimu zinataja Chama kinaungwa mkono huko Tigray kwa wasitani wa asilimia 70. Hivyo kama 30 ya Watigray hawakikubali.

Chama hiki ndiyo kiliongoza mapigano ya kumpindua Waziri mkuu wa Zamani Mangisu Haille Mariam mwaka 1991. Baada ya kufanikiwa Mtigray wa kwanza akaongoza nchi hiyo Bw Meles Zenawi.

Melez ndiye alirudisha utawala wa majimbo uliokua umetokomezwa tangu 1975 baada ya mapinduzi ya mfalme Haile Selassie.

Aidha katika utawala wa Melez ndiyo Watigray walikamata fursa zote za taifa.

Baada ya kifo cha Melez na maandamano ya Waoromo na Wahmara ulifanyika uchaguzi mkuu akashinda Bw Ali Ahmed Ali mwaka 2018.

Bw Abiy kwa kabila ni Muoromo. Abiy akaanza mikakati ya kuweka usawa jeshini na kwenye taasisi nyingi nyeti za taifa. Jambo ambalo liliwaudhi Watigray.

Chuki hii ndo imefikisha taifa katika vita.

2. Napenda niweke sawa wiano wa watu Ethiopia. Nchi hiyo inamakabila mengi zaidi ya 20 ila Makabila makubwa ni matatu. La kwanza ni Oromo 34% la pili Ahmara 27%, na la tatu ni TIGRAY 06%.

3. Historia utawala wa Ethiopia ni Kati ya wa Ahmara na Tigray. Wa Oromo hawajajaliwa kutwaa kiti mara nyingi.

4. Wa Tigray na Ahmara ni Wahabeshi wakati Waoromo ni Wakush.

Mwisho wa UTANGULIZI.

Vita.
TPLF ni rafiki wa Magharib hasa US. Wakati Abiy ni rafiki wa nchi majirani hasa Eritria, Somali hadi UAE. Sababu ya hili ni moja, Watigray huwa ni vibaraka wa US, kusimamia maslahi ya US katika pembe ya AFRICA. Utakumbuka enzi za PM Melez Zenawi akiwa Waziri Mkuu wa Ethiopia. US walikua wanatumia Jeshi la Ethiopia kuwachapa Wasomali na Wa Eritria.

Sasa Waeritria hawataki Watigray watawale Ethiopia kwa hofu zama za Marekani kuwapiganisha zitarudi.
Ahsante sana huu ndio ukweli nashangaa kuna watu huwa wanawaunga mkono hawa wa Tigray bila kujuwa kuwa wametawala nchi kwa miaka mingi na hawataki wengine watawale pamoja na uchache wao wanadhani nchi ni kwao na kutawala haki yao. waziri mkuu kutaka kuleta usawa ikawa nongwa kwao maana mpaka jeshini wao walishika kila kitu. Kuna mtu kama Zitto Kabwe anawaunga hawa waasi hakuna nchi inaweza kuvumilia waasi hata hao USA vita walipigana vya ndani sababu kuna watu walitaka kujitenga na Ethiopia wana haki ya kuwapiga watu wanaotaka kujitenga.
 
Lakini hata Tanzania ilikuwa ya kikabila until someone rolled the sleeves and decided to do something. Don't you think Ethiopia need someone to do something about it? Au ndio inabidi iwe fate yao, unavyoona wewe? Just askin'

Lakini hata Tanzania ilikuwa ya kikabila until someone rolled the sleeves and decided to do something. Don't you think Ethiopia need someone to do something about it? Au ndio inabidi iwe fate yao, unavyoona wewe? Just askin'
Naiombea kilasiku Ethiopia iachane na huu mfumo wake wa ukabila na umajimbo watoke kwenye federal state kwenda kwenye united republic. Lakini kwasasa huenda ikawa too late au ikahitaji miaka kadhaa kui-implement yaani hiki kizazi ki-phase out then the coming generation iachane na ukabila. Kwasasa ni ngumu sana maana miongoni mwa waethiopia kuna wenye dhana ya kudhulumiwa na kuna wenye kujiona wapo superior yaani first class citizens. Hapo ni vigumu sana kuwafanya wawe wamoja watu wa muundo huu.

Wanachoweza kufanya ni serikali ijitahidi kuea fair kwa jamii zote ili kuweka usawa. Abbiy aliharibu hivyo mwanzoni lakini kuwaondoa watigray waliojazana serikalini wakahisi wanahujumiwa na ndiyo wakaifikisha ethiopia hapo walipo sasa.
 
Mkuu mimi sio mkabila hata kidogo, lakini unapozungumzia Ethiopia basi jua kuwa unazungumzia ukabila. Yaani ukabila Ethiopia ndiyo kila kitu. Hupati huduma nzuri ila ni kabila lako kwanza ndiyo litakaloamua na ninaongea hivyo kwa kuyaona sio kuhadithiwa. Nimeishi ethiopia kwa miaka mitatu. Yaani si maofisini wala mitaani ni ukabila tu, hadi maeneo ya kuishi kwenye miji mikubwa kama Addis na Hawasa watu wanaishi kimakabila tu.

Yaani ni vigumu kupata picha halisi ukiichukulia Ethiopia kuifananisha na muingiliano wa kimakabila kama Tz
Sasa ili kutokomeza ukabila hupaswi na ww kuvaa uhusika wao bali jikite kwenye uhalisia sio kumlaumu Abey kwa kumfunga mtu anaetaka kuleta ukabila
 
Naiombea kilasiku Ethiopia iachane na huu mfumo wake wa ukabila na umajimbo watoke kwenye federal state kwenda kwenye united republic. Lakini kwasasa huenda ikawa too late au ikahitaji miaka kadhaa kui-implement yaani hiki kizazi ki-phase out then the coming generation iachane na ukabila. Kwasasa ni ngumu sana maana miongoni mwa waethiopia kuna wenye dhana ya kudhulumiwa na kuna wenye kujiona wapo superior yaani first class citizens. Hapo ni vigumu sana kuwafanya wawe wamoja watu wa muundo huu.

Wanachoweza kufanya ni serikali ijitahidi kuea fair kwa jamii zote ili kuweka usawa. Abbiy aliharibu hivyo mwanzoni lakini kuwaondoa watigray waliojazana serikalini wakahisi wanahujumiwa na ndiyo wakaifikisha ethiopia hapo walipo sasa.
Watigray hawajaipeleka sehem yyte Ethiopia zaid ya kuwa chanzo cha ukabila kurudi tena Ethiopia
 
Update.

Mapigano yamekoma majimbo ya Afar na Amhara. Yanaendelea majimbo ya Oromia na Tigray hasa Magharibi.

Hivyo Waasi wa TPLF wamepoteza Nusu ya maeneo yao kwa siku kumi za mapigano sasa

Kwa Kasi hii kufika tarehe 15 December vita Baki yankuviziana hasa maeneo ya Tigray ila miji yote itakua kichibya Jeshi la Serikali

PM Abiy anawajibu mmoja mkubwa sana wa kuhakikisha wapiganaji wa Afar na Amhara hawalipizi kisasi.

Maana inaonekana wa Tigray wamefanya maauji makubwa Afar na Amhara.

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Naiombea kilasiku Ethiopia iachane na huu mfumo wake wa ukabila na umajimbo watoke kwenye federal state kwenda kwenye united republic. Lakini kwasasa huenda ikawa too late au ikahitaji miaka kadhaa kui-implement yaani hiki kizazi ki-phase out then the coming generation iachane na ukabila. Kwasasa ni ngumu sana maana miongoni mwa waethiopia kuna wenye dhana ya kudhulumiwa na kuna wenye kujiona wapo superior yaani first class citizens. Hapo ni vigumu sana kuwafanya wawe wamoja watu wa muundo huu.
Endelea na maombi, ipo siku mambo yatabadilika. Ila United Republic haitawezekana. Kwa maoni yangu naona Pure federalism ndio itawafaa, ikiyapa majimbo uhuru fulani limited kwa mambo yao ya ndani. Hii itawezesha Watu kuhamia majimbo ambayo yanaendeshwa vyema na kuongeza muingiliano. Katiba ilinde tu uhuru na fairness kwenye majimbo kusiwe na kubaguana. Kubagua iwe serious criminal offense.

United republic itasumbua kama Zenji na Tanganyika zinavyosumbua mpaka leo!

Wanachoweza kufanya ni serikali ijitahidi kuea fair kwa jamii zote ili kuweka usawa. Abbiy aliharibu hivyo mwanzoni lakini kuwaondoa watigray waliojazana serikalini wakahisi wanahujumiwa na ndiyo wakaifikisha ethiopia hapo walipo sasa.
Sidhani kama aliharibu. Ilikuwa ni sahihi kuelekea Ethiopia ambayo huwa unaiombea. Ilikuwa ni an unavoidable pain. Else angekuwa kinyago chao pale Abeba. Nadhani akishinda hii vita itampa leverage ya kutengeneza Ethiopia tofauti walau na aliyoikuta. Ila itategemeana kama atashinda na hatua atakazofuata baada ya hapo.

Kutawala nchi kama Ethiopia sio kazi rahisi. Naona wengi wanaandika as if Ethiopia ni Bongo!
 
Mkuu mimi sio mkabila hata kidogo, lakini unapozungumzia Ethiopia basi jua kuwa unazungumzia ukabila. Yaani ukabila Ethiopia ndiyo kila kitu. Hupati huduma nzuri ila ni kabila lako kwanza ndiyo litakaloamua na ninaongea hivyo kwa kuyaona sio kuhadithiwa. Nimeishi ethiopia kwa miaka mitatu. Yaani si maofisini wala mitaani ni ukabila tu, hadi maeneo ya kuishi kwenye miji mikubwa kama Addis na Hawasa watu wanaishi kimakabila tu.

Yaani ni vigumu kupata picha halisi ukiichukulia Ethiopia kuifananisha na muingiliano wa kimakabila kama Tz
Unataka kutuambia tiba ya ukabila ni kuunga mkono ukabila!?
Ndio tuseme Watusi walikuwa sahihi kuwauwa wahutu kisa tu wao ni waumini wa ukabila?
 
Update.

Mapigano yamekoma majimbo ya Afar na Amhara. Yanaendelea majimbo ya Oromia na Tigray hasa Magharibi.

Hivyo Waasi wa TPLF wamepoteza Nusu ya maeneo yao kwa siku kumi za mapigano sasa

Kwa Kasi hii kufika tarehe 15 December vita Baki yankuviziana hasa maeneo ya Tigray ila miji yote itakua kichibya Jeshi la Serikali

PM Abiy anawajibu mmoja mkubwa sana wa kuhakikisha wapiganaji wa Afar na Amhara hawalipizi kisasi.

Maana inaonekana wa Tigray wamefanya maauji makubwa Afar na Amhara.

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa taarifa.
Tafadhali weka chanzo cha taarifa kama haupo Tigray!

Joke. Zamani JF kutoa habari ilikuwa lazima uweke source!
 
Inategemea kakuzingua kivipi, binafsi siungimkono kufungwa kionevu kwa Jawar Muhammed. Kama anajiita baba wa demokrasia Ethiopia basi aache wanasiasa wafanye siasa zao. Pia ni perception ya kijinga kusema waoromo hawana influence kwenye siasa za ethiopia. Hivi kabila kubwa kuliko yote linakosaje influence kwenye nchi? Oromia region ndiyo most productive region ambao uchumi wa ethiopia unategemea kivyote kilimo na other resources. Hata Addis Ababa ipo ndani ya Oromia region.Kwa ujumla hakuna ethiopia bila oromia region. Wamekosa kuwa imara tu kusimamia matakwa yao ndiyo maana wamekuwa wananyanyaswa tangu enzi za Menelik II. Waoromo wanadhurumiwa na kukandamizwa saana.
Pia ukiacha Somali region,wengi wao ni Waislam
 
Endelea na maombi, ipo siku mambo yatabadilika. Ila United Republic haitawezekana. Kwa maoni yangu naona Pure federalism ndio itawafaa, ikiyapa majimbo uhuru fulani limited kwa mambo yao ya ndani. Hii itawezesha Watu kuhamia majimbo ambayo yanaendeshwa vyema na kuongeza muingiliano. Katiba ilinde tu uhuru na fairness kwenye majimbo kusiwe na kubaguana. Kubagua iwe serious criminal offense.

United republic itasumbua kama Zenji na Tanganyika zinavyosumbua mpaka leo!


Sidhani kama aliharibu. Ilikuwa ni sahihi kuelekea Ethiopia ambayo huwa unaiombea. Ilikuwa ni an unavoidable pain. Else angekuwa kinyago chao pale Abeba. Nadhani akishinda hii vita itampa leverage ya kutengeneza Ethiopia tofauti walau na aliyoikuta. Ila itategemeana kama atashinda na hatua atakazofuata baada ya hapo.

Kutawala nchi kama Ethiopia sio kazi rahisi. Naona wengi wanaandika as if Ethiopia ni Bongo!
Federalism yenye mfumo wa kikabila mara nyingi ni shida sana Afrika haswa kuhusiana na tofauti za ki tamaduni,raslimali na kadhalika.Angalia Nigeri(Biafra),Cameroun(English Speaking region),Senegal,Angola etc.Kunahitajika ukomavu sana kuweza kufanikiwa under federalism.
 
Back
Top Bottom