Ethiopia: Watu takriban 1,400 waripotiwa kufa njaa tangu WFP isitishe Msaada wa Chakula

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,024
1,618
Takriban watu 1,400 wameripotiwa kufa kwa njaa katika eneo la Tigray, tokea Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa, WFP kusitisha Misaada ya Chakula nchini humo Aprili, 2023 baada ya kubaini kuwa ulikuwa ukiwanufaisha watu wachache

Eneo la Tigray limekuwa likikumbwa na vita tokea mwaka 2020, ambapo takriban watu 600,000 wameripotiwa kufariki kutokana na mapigano, njaa, na ukosefu wa Huduma za Afya


.........



At least 1,400 people have starved to death in Ethiopia's northern Tigray since food aid was suspended because it was being stolen, an official has said.

The UN's World Food Programme (WFP) and the US's leading aid agency halted food aid to Tigray about four months ago.

A subsequent investigation by Tigrayan authorities found that almost 500 people were involved in the theft, the official told the BBC.

Tigray was hit by a brutal conflict in 2020, causing famine-like conditions.

The conflict ended last November after the Ethiopian government and the Tigray People's Liberation Front (TPLF) signed a peace deal brokered by the African Union (AU).

Eritrean troops fought in the conflict on the side of the Ethiopian army.

For much of the war the region was under blockade, which largely halted humanitarian aid.

AU envoy, former Nigerian President Olusegun Obasanjo, said around 600,000 people died in the two-year conflict. Researchers put the hundreds of thousands of civilian deaths down to fighting, starvation and lack of health care

Source: BBC
 
watu laki 6? is this real? kwanini tusiite mauaji ya kimbali ya jamii ya watigray dhidi ya jeshi
 
Back
Top Bottom