Ethiopia: Updates on war against TPLF

Malezi mabovu kabisa. Lugha yako inatia kichefuchefu. Nadhani wewe ni zao la ngoma za baikoko.
Naona ule ujauzito ulioutafuta kwa Hali na Mali hatimae umejaaliwa maana naona kichefuchefu kinakusumbua sasa.
 
Abbiy sio mama yake tu bali hata mkewe ni muamhara na kiukweli serikali uake kajaza kabila la ukeni na ujombani akiwapa kisogo waoromo wenzake. Kiujumla anapendwa zaidi na Amharans kuliko oromo na analijua hilo ndiyo maana viongozi influential wakioromo wote wapo ndani kama Jawar Muhamed au wakizingua zaidi anawaua kama yule mwanaharakati na mwanamuziki Hachaaalu Hundessaa.

Yaani kwa upande wa waoromo hana chake nahata uchaguzi mkuu uliopita eneo kubwa laa waoromo walisusia uchaguzi
Sasa Sijui USA ndio ilimtuma Abiy akawaue hao wanaharakati na huyo mwanamuziki maana kila Kitu kikifeli huku Africa wanasema US anachochea.
 
Hatimae mji wa kistoria wa Lalibela waangukia tena kwenye mikono ya serikali.Lalibela ni mji uliyokuwa katika jimbo la Amhara.kuchukulia kwa mji huu kwa jeshi la serikali kunatoa njia ya majeshi ya serikali kuweza kuingia tena katika jimbo la Makelle(ngome kuu ya waasi).

Kiongozi wa waasi amesema wameamua kujiondoa baadhi ya maeneo kwa sababu maalum
View attachment 2030132
 
Abbiy sio mama yake tu bali hata mkewe ni muamhara na kiukweli serikali uake kajaza kabila la ukeni na ujombani akiwapa kisogo waoromo wenzake. Kiujumla anapendwa zaidi na Amharans kuliko oromo na analijua hilo ndiyo maana viongozi influential wakioromo wote wapo ndani kama Jawar Muhamed au wakizingua zaidi anawaua kama yule mwanaharakati na mwanamuziki Hachaaalu Hundessaa.

Yaani kwa upande wa waoromo hana chake nahata uchaguzi mkuu uliopita eneo kubwa laa waoromo walisusia uchaguzi
sasa ulitaka mtu akizingua asifungwe kisa ni kabila lake , yaan waafrika hampendi kufikiri ukisoma vizur ulichoandika unagundua ni stori zimetengenezwa na wazungu , Waoromo hawajawai kuwa na ushawishi kwenye serikali ya ethiopia hivyo , ukiongoza Ethiopia ufanye juu chini lazima serikali iwe na either watigray wengi au wa amhara wengi , ila wazungu wanatumia advantage ya Abiy kuoa amhara kama njia ya kuwapumbaza wajinga
 
Haisadii. Ni kweli wale ni Wahabeshi wenye nasaba za Kiyahudi na Watusi

Wana akili nyingi na maarifa.

Kuwachukia hakuondoi huo ukweli
Acha kuwa Mtumwa wa fikra. Acha kujinyanyapaa. Binadamu wote wana akili bila kujali rangi.

Na Pili Watigray hawana uhusiano wowote na Sulemani. Mwenye uhusiano na Sulemani ni akina Menelick II na Haile Selasie ambao wote Wa AMHARIC na hata Yesu alikuwa akiongea lugha ya AMHARIC. Waasi wa Tigray ni wahalifu sawa na Alshabab.
 
Nilikuwa sijagundua, kumbe naongea na mtoto aliyeharibika. Baada ya kuona caption chafu chini message zako, nimejuta kupoteza muda wangu kujaribu kukurudisha kwenye mstari. Endelea kuenzi malezi uliyoyapata.
Wacha manenooooo, chuma mboga hapo.
 
sasa ulitaka mtu akizingua asifungwe kisa ni kabila lake , yaan waafrika hampendi kufikiri ukisoma vizur ulichoandika unagundua ni stori zimetengenezwa na wazungu , Waoromo hawajawai kuwa na ushawishi kwenye serikali ya ethiopia hivyo , ukiongoza Ethiopia ufanye juu chini lazima serikali iwe na either watigray wengi au wa amhara wengi , ila wazungu wanatumia advantage ya Abiy kuoa amhara kama njia ya kuwapumbaza wajinga
Inategemea kakuzingua kivipi, binafsi siungimkono kufungwa kionevu kwa Jawar Muhammed. Kama anajiita baba wa demokrasia Ethiopia basi aache wanasiasa wafanye siasa zao. Pia ni perception ya kijinga kusema waoromo hawana influence kwenye siasa za ethiopia. Hivi kabila kubwa kuliko yote linakosaje influence kwenye nchi? Oromia region ndiyo most productive region ambao uchumi wa ethiopia unategemea kivyote kilimo na other resources. Hata Addis Ababa ipo ndani ya Oromia region.Kwa ujumla hakuna ethiopia bila oromia region. Wamekosa kuwa imara tu kusimamia matakwa yao ndiyo maana wamekuwa wananyanyaswa tangu enzi za Menelik II. Waoromo wanadhurumiwa na kukandamizwa saana.
 
Inategemea kakuzingua kivipi, binafsi siungimkono kufungwa kionevu kwa Jawar Muhammed. Kama anajiita baba wa demokrasia Ethiopia basi aache wanasiasa wafanye siasa zao. Pia ni perception ya kijinga kusema waoromo hawana influence kwenye siasa za ethiopia. Hivi kabila kubwa kuliko yote linakosaje influence kwenye nchi? Oromia region ndiyo most productive region ambao uchumi wa ethiopia unategemea kivyote kilimo na other resources. Hata Addis Ababa ipo ndani ya Oromia region.Kwa ujumla hakuna ethiopia bila oromia region. Wamekosa kuwa imara tu kusimamia matakwa yao ndiyo maana wamekuwa wananyanyaswa tangu enzi za Menelik II. Waoromo wanadhurumiwa na kukandamizwa saana.
swali waliwai kushika serikali awamu zilizopita ? Then unategemeaje hilo kabila kuwa na watu wwngi serikalini , ebu fikiri kabla hujajibu , Watigray wameongoza kwa miaka 27 na kabla ya hapo serikali imeshikwa na wamhara so unategemeaji serikali iwe na waoromo wengi serikali ? So Abey hausik na uchache wa waoromo kwenye siasa za Ethiopia maaana haongozi nchi kikabila kama unavyotaka wewe , maana nmekusoma minds zako kuwa kwa vile yeye anaongoza nchi ulitaka awajaze waoromo wakati tunaona wa amhara na watigray ndo wamekuwa kwenye rotation ya siasa Ethiopia .
 
Inategemea kakuzingua kivipi, binafsi siungimkono kufungwa kionevu kwa Jawar Muhammed. Kama anajiita baba wa demokrasia Ethiopia basi aache wanasiasa wafanye siasa zao. Pia ni perception ya kijinga kusema waoromo hawana influence kwenye siasa za ethiopia. Hivi kabila kubwa kuliko yote linakosaje influence kwenye nchi? Oromia region ndiyo most productive region ambao uchumi wa ethiopia unategemea kivyote kilimo na other resources. Hata Addis Ababa ipo ndani ya Oromia region.Kwa ujumla hakuna ethiopia bila oromia region. Wamekosa kuwa imara tu kusimamia matakwa yao ndiyo maana wamekuwa wananyanyaswa tangu enzi za Menelik II. Waoromo wanadhurumiwa na kukandamizwa saana.
Pili mtu akikosea anashitakiwa bila kujali alikuwa nani , waafrika tumekuwa wapuuzi sana yaani mtu akiwa sheikh , kiongozi wa chama pinzani , msanii anaeiponda serikali akikosea akashikwa basi tunaanza kuunda stori za abunuasi za kuichafua serikali , KUONGOZA AFRIKA NI MTIHANI KWELI
 
Pili mtu akikosea anashitakiwa bila kujali alikuwa nani , waafrika tumekuwa wapuuzi sana yaani mtu akiwa sheikh , kiongozi wa chama pinzani , msanii anaeiponda serikali akikosea akashikwa basi tunaanza kuunda stori za abunuasi za kuichafua serikali , KUONGOZA AFRIKA NI MTIHANI KWELI
Pia tusiwe watawala wakiafrika ni wapuuzi zaidi pale wakikosolewa kwa vivid examples wanaita ni kuiponda serikali. Hakuna aliye juu ya sheria lakini watawala wa kiafrika mara zote wanajiona wapo juu ya sheria.

Jawar Muhamed kuidai Addis irudi mikononi mwa waoromo na kupigania serikali iongeze maendeleo kwa waoromo kuliko kuwakamua na kuendeleza kwingine, bado kuna mijitu inaona ni kuiponda serikali. Aliyeiroga afrika atapata tabu saana siku ya malipo.
 
Pia tusiwe watawala wakiafrika ni wapuuzi zaidi pale wakikosolewa kwa vivid examples wanaita ni kuiponda serikali. Hakuna aliye juu ya sheria lakini watawala wa kiafrika mara zote wanajiona wapo juu ya sheria.

Jawar Muhamed kuidai Addis irudi mikononi mwa waoromo na kupigania serikali iongeze maendeleo kwa waoromo kuliko kuwakamua na kuendeleza kwingine, bado kuna mijitu inaona ni kuiponda serikali. Aliyeiroga afrika atapata tabu saana siku ya malipo.
Kwa hiyo hoja ya Adis irud kwa waoromo huoni imekaa kichochez ? Au unaitaji professor kukuelewesha hilo ? Yaan atoker mtu aseme dar irudi kwa wazaramo huoni huyo mtu ni mchochezi ? ukizingatia hiyo sehemu ni kitovu cha uchumi wa nchi
 
Unakijua chama kilichomuweka Abbiy madarakani? Msimamo wao ulikuwa vipi dhidi ya Addis?

Pia unajua ni kwanini walifikia hatua ya kuidai Addis au walikurupuka tu from nowhere?

Hebu soma uone dhahama waliyoipitia na wanaoipitia waoromo kisa tu hawana nguvu za kupindua serikali kama Amharans na Tigrayans regardless ya contribution yao kwenye uchumi wa nchi.

Kuhusu kuidai Addis waache waidai tu kama serikali imegoma kuwapelekea maendeleo kwenye sehemu nyingine. Mekelle imekuwa maarufu na imeendelezwa kwa kasi baada ya watigray (Zenawi) kushika madaraka na kufanywa kuwa kitovu cha nguvu za kijeshi cha nchi lakini still imebaki mikononi mwa watigray sasa Addis kwanini isirudishwe kwa Oromo?

Pia mfano wako wa wazarami hauna mashiko, Tz hatuna majimbo wala tawala za kikabila hivyo tafita mifano inayoendana na mfumo wa kiutawala wa Ethiopia.
 
Kwa ajiri ya kuboresha uondo, tugusie pia nini kilisababisha Haile Mariam Deselng akaresign ghafla na kuachia uwaziri mkuu?
Ethiopia inataka uwe mbabe kama Abiy Ahmed, sio mambo yetu ya na hili swala naomba IGP ukaliangalie. Haile Mariam D alishindwa namna ya kuwa mbabe akalaumiwa au kuwa mpole akatiwa vidole machoni akaona cha kufia nini.

Abiy ndio kaja na sera za hamtaki au mnataka lazima utaifa uwe mbele. Alafu Abiy aliaminiwa kwa kuzaliwa na wazazi wa makabila mawili yanayohasimiana ambayo kila moja lilitaka utawala, Haile Mariam D alikuwa wa kabila dogo. Hivo Abiy alianza kwa kupata support kabla kila kabila halijataka alipendelee. Yeye hana ukabila kabisa
 
Ukabila wa Waethiopia ni ngumu sana. Mengitsu Alikua Muamhara. Mama yake alikua Mkono kabila dogo la kusini. Akakulia kusini.

Pia Mengitsu hakumpindua Haile Selassie direct. Selassie alipinduliwa na Kamati ya maofisa wadogo wa Jeshi. Miaka mitano baada ya mapinduzi ndipo Mengitsu akawa Rais kwa fitina nyingi za kisiasa.

Leo hii Abiy ni Muoromo kwa baba. Ila mke na mama yake ni Amhara. Huyu anapendwa zaidi na WA Amhara kuliko wa Oromo wa babaye.

Kila kibila lina Interest zao. Kibachoangaliwa ni interest. Unajua Haile Selassie alipendwa na Watigray sana. Maana aliruhusu wakajazana selikali.

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Sijawahi soma bingwa wa siasa za majitaka kama Mengistu Haile Mariam hapa Afrika. Bahati mbaya majitaka aliyaweza ila kisiasa na kimaendeleo alikuwa kilaza asiyewaza mbele Wale young officers walikuwa na matamanio ya kijinga yasiyotekelezeka na utoto mwingi. Haile Mariam alikuwa na figisu sana
 
Back
Top Bottom