Ethiopia: Updates on war against TPLF

Msemaji wa TPLF Bw Gatachew Rada. Ametoa taarifa kua TDF imemealiza kujipanga upya na nashambulizi yameanza upya. Aidha vyanzonvingine pia vinaonesha TDF imeanza kujihama siyo kama siku 7.
Screenshot_2021-12-06-14-52-02-1252437733.jpg


Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Msemaji wa TPLF Bw Gatachew Rada. Ametoa taarifa kua TDF imemealiza kujipanga upya na nashambulizi yameanza upya. Aidha vyanzonvingine pia vinaonesha TDF imeanza kujihama siyo kama siku 7.View attachment 2034859

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Mzee hayo maneno tu ya kujitetea.tayari miji ya Dessie na kombolcha ishachukuliwa na simba wa vita(bwana Abby).sasa sijui walijipanga kwenye nini
 
Mzee hayo maneno tu ya kujitetea.tayari miji ya Dessie na kombolcha ishachukuliwa na simba wa vita(bwana Abby).sasa sijui walijipanga kwenye nini
Kwenye vita propaganda ni silaha muhimu saana mkuu. Nilisikia hata JWTZ ilikuwa inamzingua Idd Amin kuwa vikosi vya nchi mbalimbali vipo nao vitani na wameshaizingira Entebbe. Kumbe hamna lolote
 
Kwenye vita propaganda ni silaha muhimu saana mkuu. Nilisikia hata JWTZ ilikuwa inamzingua Idd Amin kuwa vikosi vya nchi mbalimbali vipo nao vitani na wameshaizingira Entebbe. Kumbe hamna lolote
Kwa iyo unataka kuniambia kuwa habari ya miji kuchukuliwa ni propaganda?
 
Umekosea
1. Abiy ndiye aliyeanza mapigano ya kijeshi.
2.Kwa miaka 500 ya taifa la Ethiopia, watigray wametawala kwa miaka 27 tu.
3.Zenawi melesi mtigray rais aliyepita alifanikiwa kutokomeza njaa, ikumbukwe kabla ya hapo kila mwaka mamia walikufa kwa njaa
4.Chochote cha maana Ethiopia kina mkono wa tigrayans,
5.Watray wameungana na waoromo kabila la Abbiy, sababu ni chuki za Abby kwa yeyote anayehisi yupo juu take.
Viongozi na watu wenye ushawishi wa kabila la promo wamewekwa korokoni na huyo Abby, Jambo ambalo limepelekea hao waoromo kumgeuka Abby.
6. Abby. Anafanana na kiongozi flan ambaye alitaka atukuzwe na awe na influence katika kila sekta.
6.
Ww ndo hewaa kabisaaa! Type za kina zzk...kenge kabisaa..umekuja na hasira za kumchukia JPM huku na hujui chochote kuhusu hiyo vita ya ethiopia.
Kwenda kale mavi ya korokoroni hujuj kitu kenge ww
 
Ww ndo hewaa kabisaaa! Type za kina zzk...kenge kabisaa..umekuja na hasira za kumchukia JPM huku na hujui chochote kuhusu hiyo vita ya ethiopia.
Kwenda kale mavi ya korokoroni hujuj kitu kenge ww
Hauna hoja, ndio maana unatukana.
Tukimalizana na huu uzi tufungue wa kutukanana nako ntakuzidi
 
Yaani, Kila Jimbo lina jeshi lake na kila kabila hivyo hivyo... ila watu wengine bhana
Hiyo ndio nzuri,Jeshi la Jimbo Ni Muhimu ili kulinda Maslahi ya Jimbo endapo mtawala wa Serikali Kuu atakauja na Chuki zake dhidi ya Jimbo furani.

Hata hapa Tanzania,kipindi Cha utawala wa awamu ya 5 Kuna Mikoa ilipendelewa Mpaka kufikia hatua wakati wengine Nyumba zao zinabomolewa na Tingatinga Mikoa pendwa hata Vibanda vya mbwa havikubomolewa. Hayo majimbo yaliyobomolewa Nyumba yangelikuwa na Jeshi lao la kuwatetea ukute Nyumba zao Mpaka leo zingelikuwepo.
 
Hiyo ndio nzuri,Jeshi la Jimbo Ni Muhimu ili kulinda Maslahi ya Jimbo endapo mtawala wa Serikali Kuu atakauja na Chuki zake dhidi ya Jimbo furani.

Hata hapa Tanzania,kipindi Cha utawala wa awamu ya 5 Kuna Mikoa ilipendelewa Mpaka kufikia hatua wakati wengine Nyumba zao zinabomolewa na Tingatinga Mikoa pendwa hata Vibanda vya mbwa havikubomolewa. Hayo majimbo yaliyobomolewa Nyumba yangelikuwa na Jeshi lao la kuwatetea ukute Nyumba zao Mpaka leo zingelikuwepo.
kweli kabisa.Heshima ingekuwepo
 
Back
Top Bottom