Ethiopia kuanza kufundisha Kiswahili

Ethiopia kuanza kufundisha Kiswahili

esther mashiker

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
616
Reaction score
555
Imeelezwa kuwa nchi ya Ethiopia inaanza programu ya kufundisha lugha ya Kiswahili katika ngazi ya cheti, stashahada na shahada katika Chuo Kikuu cha Addis Ababa, ifikapo Septemba 2019.

Makubaliano hayo yamefikiwa baada ya mazungumzo yaliyofanywa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia namna ya kutekeleza programu hiyo.

Hatua ya UDSM imekuja ikiwa ni miaka miwili tangu Rais John Magufuli ahutubie kwa lugha ya Kiswahili akiwa Jiji la Addis Ababa Ethiopia kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi za umoja wa Afrika, pamoja na mambo mengine, alitangaza rasmi kuanza kufanya kazi kwa jengo lililopewa jina la Julius Nyerere ambalo limejengwa Addis Ababa.
 
teh!teh!teteeeeeeeh!. wakati mwingine huwa najiuliza kwenye hili suala, kiswahili kimeanza kufundishwa etopia,ausralia, iceland and wherever, lakin sababu ya furaha yetu ni nini?!? tunalipwa kapesa kutokana na pattent, au tunapeleka walimu, au tunauza vitabu, au tunafurahi tu kwa sababu na sisi tunajua kiswahii!?!
 
teh!teh!teteeeeeeeh!. wakati mwingine huwa najiuliza kwenye hili suala, kiswahili kimeanza kufundishwa etopia,ausralia, iceland and wherever, lakin sababu ya furaha yetu ni nini?!? tunalipwa kapesa kutokana na pattent, au tunapeleka walimu, au tunauza vitabu, au tunafurahi tu kwa sababu na sisi tunajua kiswahii!?!
Ushawishi.
 
teh!teh!teteeeeeeeh!. wakati mwingine huwa najiuliza kwenye hili suala, kiswahili kimeanza kufundishwa etopia,ausralia, iceland and wherever, lakin sababu ya furaha yetu ni nini?!? tunalipwa kapesa kutokana na pattent, au tunapeleka walimu, au tunauza vitabu, au tunafurahi tu kwa sababu na sisi tunajua kiswahii!?!
masikini anachofikiria ni pesa tu..uingereza ananufaika nini lugha yake kuenea!?
 
masikini anachofikiria ni pesa tu..uingereza ananufaika nini lugha yake kuenea!?
hata tajiri anafikiria pesa tu. usijidanganye. kiingreza is money nenda bookshop vitabu vyoooote vya kujifunzia na kufundishia from form4 to wherever nchi hii ni kiingereza.andika chako cha kiswahili kipeleke etopia ukauze halafu uje hapa jamvini tuambie umeuza copies ngapi in a year, may be we can tok different
 
hata tajiri anafikiria pesa tu. usijidanganye. kiingreza is money nenda bookshop vitabu vyoooote vya kujifunzia na kufundishia from form4 to wherever nchi hii ni kiingereza.andika chako cha kiswahili kipeleke etopia ukauze halafu uje hapa jamvini tuambie umeuza copies ngapi in a year, may be we can tok different
Hujielewi kiongozi, mpaka hicho kiingereza kuwa na ushawishi unadhani ni jambo lililochukua mwaka mmoja, miwili au kumi? Jaribu kuwa na vision ya mbali, baada ya miaka mingi baadae vitukuu vyetu vitaicheka hii post yako. Saizi huwezi ona.
 
Hujielewi kiongozi, mpaka hicho kiingereza kuwa na ushawishi unadhani ni jambo lililochukua mwaka mmoja, miwili au kumi? Jaribu kuwa na vision ya mbali, baada ya miaka mingi baadae vitukuu vyetu vitaicheka hii post yako. Saizi huwezi ona.
Ndugu yangu I didn't mean to irritate you. Ni hivi kwa mwendo wetu ulivyo leo ni ngumu sana kutoka kwa kutegemea lugha tu. Nguvu ya kiteknolojia,uchumi ni muhimu zaidi kabla ya kufikiria lugha. Mwl Julius k.nyerere pamoja na kutambulika kwake kimataifa kupewa tuzo mbalimbali na ma vyuo vikuu mengi hapa duniani,yet he wrote in English many of his books na vinatumika sana kwenye mataifa yaliyopiga hatua kuliko hapa kwetu.kwa nini hakuviandika kwa lugha yetu pendwa Swahili?!?. Ndugu yangu subiri tu wakati ukifika utasema!!.hatuwekezi vya kutosha kwenye elimu, tafiti,teknolojia leo tunaamini kiswahili chetu kitakua tu kwa baraka za mnyaazi mungu. HELU MAYU!!!!

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
masikini anachofikiria ni pesa tu..uingereza ananufaika nini lugha yake kuenea!?
Anauza kila anachotengeneza kikiwa na maelezo ya kiingereza ni faster kinauzika mfano, Dawa,gari,tv, vitabu vya ziada na kiada nk

japo Waswahili mngeuza vitabu lkn hamtaki kujua kuandika, mnataka helaaa tu
 
Back
Top Bottom