rootadmin
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 349
- 243
Prophet Hacker hiki hapa ninacho .. kinahusu masuala ya android https://matrix193.files.wordpress.com/2016/08/prophet-hacker.pdf
EnxProphet Hacker hiki hapa ninacho .. kinahusu masuala ya android https://matrix193.files.wordpress.com/2016/08/prophet-hacker.pdf
Linux naweza kuitumiamost people want to be a HACKER and they start on what language need to study or know to be a hacker...............but sad they miss onE or two point .....
what are they?
je uko vizuri katika ivo vitu?
- NETWORK KNOWLEDGE
- OPERATING SYSTEM SUITABLE FOR HACKING eg, KALILINUX and BLACKARCH
manake playground ya hackers today ni internet... ambayo bila kujua shells za linux ni kazi bure
pia hacking kuna OS zake sasa mtu ata kutumia linux hawezi lakini anataka awe hacker
WHAT ABOUT NETWORK?Linux naweza kuitumia
C# na Matlab za nini katika hacking?Jifunze sql injection.....penetrations nyingi za webaite zinatumia sql injection ni vizuri ujifanyie penetration testing mwenyewe (pen test)
scripting languages(html, css,javascipt )
C,C++,C#, matlab na kuna vi frameworks and libralies kama jquery, bootstrap ivi ni scripting languages
Lazma uzijue
++This is for educational purpose only..I am not liable for any illegal actiona++
Hata hao hawajui kituajira unayoi-wish kwa tanzania bado maana hata hawa white hackers tulionao TZ ni pro-ccm...i mean watoto wa wakubwa
Hapo kwwnye VPN ni IPI iliyo nzuri?
Kali Linux na network badoWHAT ABOUT NETWORK?
na si linux tu bali KALI LINUX
???So what about hacking games hazisaidii MTU Ku improve
So how can I get community?Hacking is more than just a word hack, VPN zinaweza kukupoteza pia, you can't be one in just a year, you need practice and you need community, community is better than those fucking pdf.
sana san telegramSo how can I get community?
Kali Linux na network bado
game itakufany upende hacking tu.. but even hacking games pia nazo ni zinalook kama linux distros huwez cheza bila commands.. try hii game . inaitwa hacker evolution untold ni nzr sana kwa wanaopend hackingSo what about hacking games hazisaidii MTU Ku improve
Telegram nipo it means nianzishe channel yangsana san telegram
search public chanels zipo kibao za hakinTelegram nipo it means nianzishe channel yang
sticky on themKali Linux na network bado
Kwemasticky on them
Alafu mkuu kwenye embedded systems au IoT, C na C++ ipi inafaa zaidi?Usimpoteze kijana, kumwambia soma C,C++,C# na Matlab. Hahaha duh!
Nashauri kama hujui kitu ni vema usijibu, hizo language zote asome unataka aanze hacking akiwa kazeeka? Matlab mtu anatumia kuhack nini hasa? language inayotumiwa na data scientists unataka mtu ajifunze ili atumie kuhack kitu gani?
Hapo labda asome C tu inatosha kabisa kudeal na system hacks zote, Python pia kudeal na web kirahisi zaidi, hivyo vingine ulivyoandika vimeprove kabisa hujui hata the first thing about hacking.
HTML, CSS sio scripting languages. Markup languages tu hizo. Na SQL Injection siku hizi sio big deal kama unavyofikiria, sites ambazo zinago-down kwa sql injection nyingi hazina maana zimetengenezwa na amateur developers.