Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
19. Basil Pesambili MrambaEwe Mtanzania,
Chukua muda utafakari unachokisoma hapa, chambua kwa undani ndani ya roho yako ujilize machungu unayoyapata kwa KUSALITIWA na hawa wafuatao ambao ni wawakilishi wako katika Serikali.
Uliwachagua kwa kuwapigia kura na kuwapa dhamana wawe Wabunge na Wawakilishi wako katika kujenga Serikali.
Jee utendaji kazi zao na kauli wanazotoa ni kweli zinakuwakilisha wewe kama Mwananchi na kukusaidia wewe Mwenye Nchi? Au kauli na matendo yao ni kujinufaisha na kulinda maslahi ya Chama chao CCM?
Jiulize, mwaka 2010, uko tayari kumuongezea huyu Msaliti wa maslahi yako na familia yako miaka mingine mitano ya kukulaghai kuwa yeye ni Mbunge wako?
1. Anna Abdallah
2. Abdalla Kigoda
3. Peter Msola
4. Peter Serukamba
5. Andrew Chenge
6. Mustafa Mkullo
7. Hawa Ghasia
8. Bernard Membe
9. Maua Daftari
10. Mohamed Seif Khatib
11. Nizar Karamagi
12. Ibrahimu Msabaha
13. Charles Keenja
14. Emmanuel Nchimbi
15. Edward Lowassa
16. Mary Nagu
17. Milton Mahanga
18. Rostam Aziz
........add to the list
19. Basil Pesambili Mramba
20. Nimrodi Mkono (mrefu)
21. Muhidhiri Muhidhiri
Benjamini Williamu mkapa
Daniel Yona
Kapuya
Benjamini Williamu mkapa
Daniel Yona
Kapuya
Benjamini Wiliiamu Mkapa, Daniel Yona , Kapuya na Helcoppter Mbovu za jeshi na kujipatia Machimbo ya merereani, na kutoa bahasha za pesa kwa waandishi alipokuwa elimu, Na tenda za NSSF alipokuwa wizara ya Kazi
27. Prof Jumanne Maghembe
Ewe Mtanzania,
Chukua muda utafakari unachokisoma hapa, chambua kwa undani ndani ya roho yako ujilize machungu unayoyapata kwa KUSALITIWA na hawa wafuatao ambao ni wawakilishi wako katika Serikali.
Uliwachagua kwa kuwapigia kura na kuwapa dhamana wawe Wabunge na Wawakilishi wako katika kujenga Serikali.
Jee utendaji kazi zao na kauli wanazotoa ni kweli zinakuwakilisha wewe kama Mwananchi na kukusaidia wewe Mwenye Nchi? Au kauli na matendo yao ni kujinufaisha na kulinda maslahi ya Chama chao CCM?
Jiulize, mwaka 2010, uko tayari kumuongezea huyu Msaliti wa maslahi yako na familia yako miaka mingine mitano ya kukulaghai kuwa yeye ni Mbunge wako?
1. Anna Abdallah
2. Abdalla Kigoda
3. Peter Msola
4. Peter Serukamba
5. Andrew Chenge
6. Mustafa Mkullo
7. Hawa Ghasia
8. Bernard Membe
9. Maua Daftari
10. Mohamed Seif Khatib
11. Nizar Karamagi
12. Ibrahimu Msabaha
13. Charles Keenja
14. Emmanuel Nchimbi
15. Edward Lowassa
16. Mary Nagu
17. Milton Mahanga
18. Rostam Aziz
........add to the list
Benjamini Wiliiamu Mkapa, Daniel Yona , Kapuya na Helcoppter Mbovu za jeshi na kujipatia Machimbo ya merereani, na kutoa bahasha za pesa kwa waandishi alipokuwa elimu, Na tenda za NSSF alipokuwa wizara ya Kazi
Rev,
nadhani ungefanya kama alivyofanya August ,kwanini usituambie ni namna gani na ni kwa
vipi wametusaliti?
kuna baadhi yao hapo juu kwenye listi yako matendo yao tunayajua ye wale tusiowajua huoni kuwa tutakuwa tunahukumu bila kusoma shitaka?
Ni maoni yangu tu
19. Basil Pesambili Mramba
20. Nimrodi Mkono (mrefu)
21. Muhidhiri Muhidhiri