President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Kwa aibu ya mwaka kwenye uchaguzi wa ccm juzi, nampa EW 100% dhidi ya SS 1%.
ulimaanisha edward lowassa kwenye kichwa cha habari sio? Tatizo la kuanzisha topic wakati mmeshapiga viroba
Mkuu,
sio tu kwamba Esther ni zaidi ya SS bali anachana magamba wengi ile
mbaya. Hebu linganisha ile speech yake pale Nkrumah UDSM siku ya
kumbukumbu ya Mwalimu na hii speech ya waziri wenu hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...muungano-wa-visiwa-vya-pemba-na-zimbabwe.html
Ha
ha ha ha ha ha!
Kwa aibu ya mwaka kwenye uchaguzi wa ccm juzi, nampa EW 100% dhidi ya SS 1%.
Kuna vitu huwezi kusjindanisha, mf Marekani na Tanzania, SS na EW etc. SS ni wa mipasho.Unapotaka watu wakuelewe wakati unatoa ujumbe usioeleweka ni kazi sana!!....
Wamemuonea kumpa uwaziri ni mzigo mzito kwake.Mkuu, sio tu kwamba Esther ni zaidi ya SS bali anachana magamba wengi ile mbaya. Hebu linganisha ile speech yake pale Nkrumah UDSM siku ya kumbukumbu ya Mwalimu na hii speech ya waziri wenu hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...muungano-wa-visiwa-vya-pemba-na-zimbabwe.html
Ha ha ha ha ha ha!