GE2025 Esther Matiko: Mimi ni CCM hata kwenye majukwaa sijawahi kusema neno ‘CHADEMA’

GE2025 Esther Matiko: Mimi ni CCM hata kwenye majukwaa sijawahi kusema neno ‘CHADEMA’

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Tarime Mjini Esther Matiko amesema mpango wa kuingia Chama Cha Mapinduzi(CCM)alikuwa nao muda mrefu tangu wa wakati wa Serikali ya awamu ya Nne ya Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho kikwete

Matiko ameyasema hayo Musoma Mjini Mkoani Mara wakati akihojiwa na Wasafi Media kwenye muendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya CCM,Dkt. Samia Suluhu Hassan

Matiko amesema kuwa alitafakari Kwa muda mrefu ili kujiunga na CCM maamuzi yake yalikuwa sahihi na ndio maana alipokuwa Chama Cha Demkrasia na Maendeleo(CHADEMA)kwenye majukwaa hajawahi kukisika akisema neno la CHADEMA au kuonyesha ishara ya Chama hicho.

 
Inaweza kuwa kasema ukweli wake.

Siwezi kumpinga ila tu inasaidia kuwajua wanasiasa na siasa.

Tatizo kubwa wafuasi wa Chadema ndugu zangu mna akili ndogo sana ya kujifunza mambo mbalimbali yaliyotokea na yanayoendelea kutokea.

Kila mara mnanyooshea vidole wapinzani wengine huku mkijiona nyie ndio wapinzani halisi kuliko wote.Ila uhalisia ni kuwa kila chama cha upinzani kuna wapinzani kwelikweli na kuna mapandikizi pia.Hakuna walio wasafi kuliko wengine.

Muda sio mrefu uliopita mlikuwa mnasema Mbowe ndio kiongozi pekee wa upinzani asienunulika ila mkala matapishi yenu katika uchaguzi wa ndani ya chama japo ni wagumu kuelewa na wepesi wa kusahau.

Hata sasa hivi ndani ya Chadema kuna mole wa maana kabsa tena yupo on top kabisa.Kwa namna mlivyo hamtakuja kumjua hadi yeye aamue kujionesha.

Salum mwalimu,Yeriko,Matiko,Mdee n.k mlikuwa mnaaminisha hawawezi kubadilika ila muda ni shahidi mzuri sana hatimae wakawavua nguo mchana kweupe.

Sasa nini mfanye kwanza acheni kushambulia kwa matusi na kauli za kudharirisha kila wanaotofautiana hoja na nyie kama hawajawadharirisha.

Pili msione ni nyie tu ndio mnaostahili kuwa wapinzani hapa Tanzania na wengine ni mamluki.Yule Lissu anaelewana vizuri sana na viongozi wa upinzani mnaowatukana kwenye mitandao kila leo na hadi ya sirini wanaongea.

Ccm hawataki mambo ya ukawa yajirudie maana waliona chungu yake japo umoja ule ulitawaliwa na ulafi wa madaraka sio nia thabiti yakukiondoa chama cha mapinduzi madarakani.

Ndani ya CCM kuna watu wasafi kuliko hata wengi waliopo upinzani.Kuwa mpinzani haimaanishi wewe ndio uko sawa kuliko mtu wa CCM.

Sasa ili mfanikiwe katika harakati zenu jitahidini kupunguza maadui sio kuongeza maadui.

Najua hamna uwezo wa kuandamana maana nyie ni waoga sana kuliko hata mwanangu wa miaka mi3.Ndio maana nashangaa kwanini viongozi wanatumia nguvu kubwa sana kuwatisha watu waoga.

All in all madhira mnayopitia hayamfurahishi kila mpenda haki hapa duniani maana nyinyi ni ndugu zetu wa damu na Tanzania ndio nchi yenu ya ahadi mliyopewa na MUNGU kama zawadi kwenu.Kwahyo naamini mnastahili kusikilizwa kwa yale mazuri.

Lingine japo sio kwa umuhimu ndugu zangu CCM iache uoga kwa watu wa CDM maana wao wanachojua ni kukosoa tu sio kuonesha solution ya matatizo.Sasa ni udhaifu mkubwa kutumia nguvu kubwa kumkabili mtu anaepiga tu kelele bila kuonesha way forwad.

CCM wenzangu tunaamini tumefanya mambo mazuri sana sasa kwanini tusibishane kwa hoja na wakosoaji hawa na sio njia zingine zisizo za kibinadamu.

Naamini njia ya utekaji ilipaswa itumike kuwakabili viongozi wanaoifilisi hii nchi ndio ingependeza zaidi.Kuna zile ripoti za CAG kama tunaona njia ya utekaji ni nzuri basi tuitumie kwa wale waliopo katika ile ripoti.
 
“Siasa Siyo Ajira Siasa Ni Huduma”
Asilimia Kubwa Viongozi Wetu Wameingia Kwenye Siasa Uchu Na Njaa Zao Wakaona Kuna Fursa

Tanzania Hamna Siasa Bali Kuna Fursa Kuwa Kiongozi
 
Lazima aseme hivyo kwasababu hawa wanasiasa wa aina hii huwa tunawaitaga wanasiasa ugali huku kitaani.
 
Hivi kwa nini siasa ndo isingekuwa kazi ya wito?
Halafu waalimu na wafanyakazi wa Afya ndo ikapewa kipaumbele?!
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako

we jamaa bana, Nakusubiri kwa hamu mkuu
 
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Tarime Mjini Esther Matiko amesema mpango wa kuingia Chama Cha Mapinduzi(CCM)alikuwa nao muda mrefu tangu wa wakati wa Serikali ya awamu ya Nne ya Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho kikwete

Matiko ameyasema hayo Musoma Mjini Mkoani Mara wakati akihojiwa na Wasafi Media kwenye muendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya CCM,Dkt. Samia Suluhu Hassan

Matiko amesema kuwa alitafakari Kwa muda mrefu ili kujiunga na CCM maamuzi yake yalikuwa sahihi na ndio maana alipokuwa Chama Cha Demkrasia na Maendeleo(CHADEMA)kwenye majukwaa hajawahi kukisika akisema neno la CHADEMA au kuonyesha ishara ya Chama hicho.



..Na ma-Doctor wote walioko huko Ccm wanaamini alichosema Ester Matiko?🤣

..Matiko amewaona wajinga ndio maana ana ujasiri wa kuwadanganya kitoto namna hiyo.
 
Back
Top Bottom