GE2025 Ester Njau: Rais Samia alitabiriwa kwenye Biblia

GE2025 Ester Njau: Rais Samia alitabiriwa kwenye Biblia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,927
Reaction score
6,577
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kilimanjaro aliyemaliza muda wake na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ester Njau, amefika katika Jimbo la Hai na kuzungumza na wananchi wa jimbo hilo lililopo mkoani Kilimanjaro, akiwaomba kura za mgombea urais, ubunge na madiwani wa CCM.

Njau ametumia maandiko ya Biblia yanayoeleza nguvu ya mwanamke katika uongozi, alipokuwa akiwaomba wananchi kumpa kura Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye nafasi ya Urais.

 
Bora wafunge mada za siasa zotee tujue moja
 
Mataka kweli huyo sijawahi kuyaona matako km huyo
 
Screenshot_20250725-185609~2.png
 
Hii yote ni kujipendekeza tu?
Imekuwa too much kwa kweli. Viongozi wamekuwa watu wa kujipendekeza kupita kiasi. Ukiangalia hivyo vituo vya huduma kwa idadi hiyo 12,867 kama ni kweli imetokana na msaada wa hela ya UVIKO-19. Viongozi wanavyoongea ni kana kwamba hii ichi ilishawahi kutawaliwa na chama kingine cha siasa.
 
Kuna mambo yanafurahisha sana...
Kwa hiyo Shekhe Yahaya kawa Biblia...


Cc: Mahondaw
 
Back
Top Bottom