MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 503
- 398
Acheni ufukunyuku kwani hamjui ester ana kitu ambacho mwalimu hana afu kinavutia na kakaaa siku 13 lupango acha akajilie bana
Kwa uropokaji hapa JF wewe Mudawote ni namba mbili baada ya ropokaji kuu LizaboniDOUGLAS SALLU acha kuropoka, chunga hiyo keyboard unayotumia kuandika huo uropokaji inakusikia
We kilaza kweli kufunga mkanda kunahusiana vipi na policeNaona Kafunga Na Mkanda Wa Gari,polisi Noma Aitheee
Ulishawahi kumuonja?Matiko mtamu balaaa
Huoni lips zake?Ulishawahi kumuonja?
Hata vidole !!!!!!Huoni lips zake?
Mtu Mwenyewe Muoga, Unaweka*********badala Badala Ya Maneno Yako Ya Hivyo, Maliza Tu Uone Nitakavyokufanya, Hao Tcra Watakuwa Watetezi WakoWe ****** kweli kufunga mkanda kunahusiana vipi na police
Huna pointKwa uropokaji hapa JF wewe Mudawote ni namba mbili baada ya ropokaji kuu Lizaboni
Naona unafukua kaburiNapita tu![]()
Yaani wewe ni pimbi kweli unazani kila mtu anaefunga mkanda kwenye gari anaogopa polisi, wengine wanajua umuhimu wa mkanda,Naona Kafunga Na Mkanda Wa Gari,polisi Noma Aitheee
Huna kitu kichwani aibu,rais mwenyewe anafunga mkandaNaona Kafunga Na Mkanda Wa Gari,polisi Noma Aitheee
Acha watafunaneNi demu wake muda mrefu mbona....