Ester Matiko na Salumu Mwalimu

Ester Matiko na Salumu Mwalimu

Duh kweli mahabusu si pazuri maana naona jamaa tangu aingie mahabusu hakuwahi kubadili nguo, ni hilo hilo gwanda la kidhaifu na kifisadi.


Na wewe toka juzi hujabadili gagulo nasikia harufu jukwaani.
 
14225533_1115944608489752_4369595681970970073_n.jpg
tukuyu hii
 
DOUGLAS SALLU acha kuropoka, chunga hiyo keyboard unayotumia kuandika huo uropokaji inakusikia


Wewe tu ndiyo una haki kutoa shombo zako hapa kwa sababu tu ni mtetezi wa chama chakavu? Lugha uliyotumia kuhusu Mwalimu ni sahihi? jifunze kuheshimu watu wengine nawe utaheshimiwa, wewe ndiyo moja ya watu wanaofanya JF ionekane jukwaa la kihuni, hebu pitia post zako zoooote na ujitafakari.
 
Wewe tu ndiyo una haki kutoa shombo zako hapa kwa sababu tu ni mtetezi wa chama chakavu? Lugha uliyotumia kuhusu Mwalimu ni sahihi? jifunze kuheshimu watu wengine nawe utaheshimiwa, wewe ndiyo moja ya watu wanaofanya JF ionekane jukwaa la kihuni, hebu pitia post zako zoooote na ujitafakari.
hahahahah, unachekesha kweli wewe kiumbe. Hivi bei ya chandomo sasa ni shs ngapi?
 
Duh kweli mahabusu si pazuri maana naona jamaa tangu aingie mahabusu hakuwahi kubadili nguo, ni hilo hilo gwanda la kidhaifu na kifisadi.
Dada tengua kauli....Hilo ni vazi la Kikamanda tafadhali
 
Back
Top Bottom