mim sioni ubaya wa kusema katka hilo.Wizara zinaundwa tu,kila miaka ni kutumia fedha,haziji na mikakati ya kuliingizia taifa pesa na hawana malengo ya kupata mapato wao ni kwenda bungeni na kutoa makadirio na kwenda kutmia hizo fedha.
Na ndio maana niliwahi kusema sasa ni wakati wa kutenganisha siasa za serikali nikimaanisha kuwa,mawaziri wasiruhusiwe kuwa wabunge wala wanasiasa.Tuanze na hapo kwanza kama hatutafika mbali,maaana siasa ndizo zinaumiza nchi.
waziri mzigo kama huyu hajui hata jinsi atakavyoingizia nchi yake mapato zaidi ya kulalamika tu kupokea misaada nk.
Wizarar kama hizi,wizara ya nishati na kilimo nk zitakiwa pia ziwe wabunifu ni vipi wataingizia nchi mapato mengi zaidi kuliko ya hapo nyuma na zaidi.Lakni ndio wizara kama hizi wanapewa watu wa ajabu,hawajui dunia inakwenda vipi,inataka nini,wala siasa zake.wapo tu kama maji ya chooni.
kila wakati nikifikiria kazi na impact za mawaziri hawa na akili zetu sisi waafrica naanza kuamini uwepo wa kitu kimoja mzungu alikiita IQ.kweli waafrica ufikiri wetu ni mdogo sana na dhaifu.