Ester Bulaya: Prof Magembe ni mwepesi kama 'tishu'!

Ester Bulaya: Prof Magembe ni mwepesi kama 'tishu'!

mim sioni ubaya wa kusema katka hilo.Wizara zinaundwa tu,kila miaka ni kutumia fedha,haziji na mikakati ya kuliingizia taifa pesa na hawana malengo ya kupata mapato wao ni kwenda bungeni na kutoa makadirio na kwenda kutmia hizo fedha.

Na ndio maana niliwahi kusema sasa ni wakati wa kutenganisha siasa za serikali nikimaanisha kuwa,mawaziri wasiruhusiwe kuwa wabunge wala wanasiasa.Tuanze na hapo kwanza kama hatutafika mbali,maaana siasa ndizo zinaumiza nchi.
waziri mzigo kama huyu hajui hata jinsi atakavyoingizia nchi yake mapato zaidi ya kulalamika tu kupokea misaada nk.

Wizarar kama hizi,wizara ya nishati na kilimo nk zitakiwa pia ziwe wabunifu ni vipi wataingizia nchi mapato mengi zaidi kuliko ya hapo nyuma na zaidi.Lakni ndio wizara kama hizi wanapewa watu wa ajabu,hawajui dunia inakwenda vipi,inataka nini,wala siasa zake.wapo tu kama maji ya chooni.

kila wakati nikifikiria kazi na impact za mawaziri hawa na akili zetu sisi waafrica naanza kuamini uwepo wa kitu kimoja mzungu alikiita IQ.kweli waafrica ufikiri wetu ni mdogo sana na dhaifu.
 
Bulaya kazoea kulumbana na mijitu ya kiume mikubwa ndani ya CCM.

Haoni shida kabisa!, amekomaa kabla hajaingia bungeni, ila mm hata km ni mwepesi km tishu lakini mwanamke hawezi kuniita km atakavyo! weeeeeh, mipaka iwepo
 
Nape na Com. Kinana walisha muona kitambo sasa sijui kwa nini Min. J. Mwagama alikuwa anamchokoza Hon. E. Bulaya????
 
kwahiyo gama kaona kuambiwa mtu mwepesi ni uchungu zaidi kuliko kuwasaidia wanawake wenzie kuwaambiwa wanapata ubunge hadi wawe mababy wa watu??
 
wapinzani hawawezi kujenga hoja bila ya kutukana mtu kama bulaya kwanza kabisa anaonekana hana adabu haiwezekan mtu aliyelelewa vizuri amtukane mzee kama maghembe huko ni kukosa adabu kwa waziwazi hata kama shida ni uwazir mimi naamini angeweza kujenga hoja yake vizur tu pasipo kutumia maneno ya kuudhi
 
Unajuwa kumtolea maneno ya kuudhi kwa lango la kumuudhi mtu mwenye umri mkubwa sawa au zaidi ya baba yako ni kitendo cha kukosa adabu. Mtu mwenye akili timamu na malezi mazuri hawezi kuafikiana na Ester Bulaya.

Kwa kawaida mtenda huwa hapendi kutendewa na akitendewa kilio chake huwa kikubwa. Naye Ester ategemee haya kumkuta katika maisha yake na tukiwa hai tutamkumbusha.
 
Mbunge wa Bunda mjini Ester Bulaya jana alivuruga bunge baada ya kusema Prof Maghembe ni mzigo mwepesi kama tishu. "Huyu waziri aliwahi kuitwa mzigo na Kinana na kweli ni mzigo tena mwepesi kama tishu" alisema Bulaya.

Kauli hiyo ilimuinua Muhagama aliyetaka Bulaya afute kauli hiyo kwani ni ya kuudhi lakini Bulaya alikataa kufuta kauli hiyo kwa kusema mbunge hachaguliwi cha kusema.

Hivi hawa wabunge hawawezi kutumia lugha za kistaarab wanapotoa? Wanajishushia hadhi wanapotumia maneno mahali yasipopaswa kutumika au maneno ya dhihaka na kejeli. Tushindane kwa hoja madhubuti.
 
Ila Easter bulaya Muda wake unahesabika asijifanye muongeaji saaana. Wapo waliojifanya hivo Wapo wapi?
 
Moja ya sifa iliyofanya nisiwe tena na imani na Mh Rais Magufuli ni kuona amerudisha aina ya Mawaziri wale wale waliokuwa na tuhuma katika awamu ya nne ya mh Kikwete kaongeza na wakwake wengine walevi
 
Vijembe vya wabunge sio vya kuingilia, ukute waheshimiwa wanabebana (Kiutu uzima kwenye mambo yetu yale) kila siku baada ya vikao hivyo wanajuana uzito wao, labda mzee kila siku yeye yupo juu anapepetwa sisi tunakaa kuwajadili hapa. Wanajuana kwa vilemba hao.

Teh teh teh. Unataka kusema mheshiwa pengine kashindwa kumenya machungwa yanayolimwa huko Musoma.....
 
Kweni yeye bulaya si mwepesi tu kwa yule mdada mwenye sauti ngumu mbona watu wamekauka tu wanawaangalia wanavokula raha za dunia.
 
Ndio maana hata kuoyesha bunge wameona ni anasa. Bunge limekuwa uwanja wa mipasho..
 
Mbunge wa Bunda mjini Ester Bulaya jana alivuruga bunge baada ya kusema Prof Maghembe ni mzigo mwepesi kama tishu. "Huyu waziri aliwahi kuitwa mzigo na Kinana na kweli ni mzigo tena mwepesi kama tishu" alisema Bulaya.

Kauli hiyo ilimuinua Muhagama aliyetaka Bulaya afute kauli hiyo kwani ni ya kuudhi lakini Bulaya alikataa kufuta kauli hiyo kwa kusema mbunge hachaguliwi cha kusema.
 
Back
Top Bottom