Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,618
- 5,652
ATAJIJUA MWENYEWE.ALA KUL HALI WANA K MNATO SANA,,Ndio maana Zitto kaoa huko.
ATAJIJUA MWENYEWE.ALA KUL HALI WANA K MNATO SANA,,Ndio maana Zitto kaoa huko.
Uwe unasoma comment na kuzielewa kabla hujakurupuka hovyo,sawa wewe myahudi wa Mburahati, hukuona question marks kwenye hizo hoja zangu? iko siku yahudi akija kwako basi utampisha aingie ndani kwako afanye anachokitaka sio? umejidharau sana kwa mahaba niue ya kijinga.Hivi wewe unajua maana ya SPIONAGE au unapayuka tu?? The Mossad Agents wakitaka mkojo hata wa Magufuli au wa kwako wanaupata sasa hivi.....kwa malengo wanayotaka wao!!!Ogopa sana Taifa la WATU WA MNGU.....!!!
Kwa sasa Tanzania wamesharudisha uhusiano na Israel lakini wakti huohuo wanaunga HARAKATI ZA WAPALESTINA.....tabia za upopo....Hapa ndipo mikojo na vinyesi ya watu kama Magufuli inapotafutwa kwa kutumia vyoo bandia ili wapate wanachokita.....!!
Watch out! Ukisikia MOSSAD AGENTS kaa mbali siyo watu wa mchezo mchezo!
Taifa la watu wa Mungu?? Ina maana Tanzania ni taifa la mashetani ama?? DuhHivi wewe unajua maana ya SPIONAGE au unapayuka tu?? The Mossad Agents wakitaka mkojo hata wa Magufuli au wa kwako wanaupata sasa hivi.....kwa malengo wanayotaka wao!!!Ogopa sana Taifa la WATU WA MNGU.....!!!
Kwa sasa Tanzania wamesharudisha uhusiano na Israel lakini wakti huohuo wanaunga HARAKATI ZA WAPALESTINA.....tabia za upopo....Hapa ndipo mikojo na vinyesi ya watu kama Magufuli inapotafutwa kwa kutumia vyoo bandia ili wapate wanachokita.....!!
Watch out! Ukisikia MOSSAD AGENTS kaa mbali siyo watu wa mchezo mchezo!
Unatafutwa wewe siku ukikamatwa sijui utafanywa niniTumekuja ingawa hatukuitwa.
Ndo kawaida yao hawa kujipigia debe kwa vitu vya kawaida,sass wanataka sifa za kuiba vinyesi.Sasa cha ajabu ni nini hapo? kuiba mkojo au kuupima mkojo?
Mbona maabara nyingi tu zinapima mkojo? huo mkojo haukuchanganyika na maji huko chooni ilhali kulikua na bakuli moja tuu?
Kinachotakiwa ni pesa,na niaHivi wewe unajua maana ya SPIONAGE au unapayuka tu?? The Mossad Agents wakitaka mkojo hata wa Magufuli au wa kwako wanaupata sasa hivi.....kwa malengo wanayotaka wao!!!Ogopa sana Taifa la WATU WA MNGU.....!!!
Kwa sasa Tanzania wamesharudisha uhusiano na Israel lakini wakti huohuo wanaunga HARAKATI ZA WAPALESTINA.....tabia za upopo....Hapa ndipo mikojo na vinyesi ya watu kama Magufuli inapotafutwa kwa kutumia vyoo bandia ili wapate wanachokita.....!!
Watch out! Ukisikia MOSSAD AGENTS kaa mbali siyo watu wa mchezo mchezo!
Blackbold: Ha ha haaaa!Uwe unasoma comment na kuzielewa kabla hujakurupuka hovyo,sawa wewe myahudi wa Mburahati,
Aisee mwanzoni nilidhani ni watu tu wame'fyatuka' akili. Ni kweli kuna baadhi ya watanzania wenzetu wanakatisha tamaa hasa vijana wasiwe wazalendo...ni kweli jambo hili. Yaani unakuta kuna mtu ana madaraka na anatakiwa kuwa 'mentor' mzuri kwa vijana namna ya kujishughulisha na kubuni vitu vya kukwamua jamii...lakini ni mtu huyo huyo anakuwa mstari wa mbele kumkwamisha kijana mchapa kazi, mbunifu na anayeipenda nchi yake. Kuna sehemu nilipita nikakuta mazingira haya...nikajua kumbe Mheshimiwa Rais Dk. Magufuli na watanzania kwa ujumla tunahujumiwa kwa namna nyingi na hujuma ya namna hii kiwemo. Kibaya zaidi, mtu huyo ni mtu wa kuenenda na matendo ya Bwana Yesu Kristo na Mtume Muhammad (S.A.S). Kuna kijana mmoja aligundua 'mtambo' ambao ungeendelezwa ungeisaidia jamii yetu ya Kitanzania, lakini 'mentor' huyu kagoma kumuunganisha kijana na wawekezaji wa hapa nchi...! Kwa sababu kijana ni mtu wa bidii na kutafuta mwenyewe kwa kukukuruka kapata 'prospective funder' kutoka Guine ya Ikweta na mambo kama yakiwa kama yalivyopangwa mwezi wa tatu mwakani kijana atatimiza ndoto zake...!Natamani kuwa mzalendo ila mazingira hayaruhusu....
Kila la kheri utukumbuke katika ufalme wako.Aisee mwanzoni nilidhani ni watu tu wame'fyatuka' akili. Ni kweli kuna baadhi ya watanzania wenzetu wanakatisha tamaa hasa vijana wasiwe wazalendo...ni kweli jambo hili. Yaani unakuta kuna mtu ana madaraka na anatakiwa kuwa 'mentor' mzuri kwa vijana namna ya kujishughulisha na kubuni vitu vya kukwamua jamii...lakini ni mtu huyo huyo anakuwa mstari wa mbele kumkwamisha kijana mchapa kazi, mbunifu na anayeipenda nchi yake. Kuna sehemu nilipita nikakuta mazingira haya...nikajua kumbe Mheshimiwa Rais Dk. Magufuli anahujumiwa namna hii. Kibaya zaidi, mtu huyo ni mtu wa kuenenda na matendo ya Bwana Yesu Kristo na Mtume Muhammad (S.A.S). Kina kijana mmoja aligundua 'mtambo' amabo ungeelezwa ungeisaidia jamii yetu ya Kitanzania, lakini 'mentor' huyu kagoma kumuunganisha kijana na wawekezaji wa hapa nchi...! Kwa sababu kijana ni mtu wa bidii na kutafuta mwenyewe kwa kukukuruka kapata 'prospective funder' kutoka Guine ya Ikweta na mambo yakiwa kama yalivyopangwa mwezi wa tatu mwakani kijana atatimiza ndoto zake...!
Kwa kuwa muda huu mpaka mwakani mwezi sita saba nimebanwa. Mungu akipenda nikarudi kule...'yule mentor' naanza naye. Mungu nisaidie katika hili. Amen.
Amen.Kila la kheri utukumbuke katika ufalme wako.