duh aiseee watu wanagawana hela kwenye mifuko ya rambo duh...............BRING BACK OUR MONEY
![]()
Hesabu kwa siku Nahitaji Bilioni 1.6! Kama wewe ni dereva mzuri na unahitaji Ajira hii, Fika katika Ofisi za IPTL, PAC, PAP, Jengo la Taifa, Dodoma Tanzania.
Wahi sasa nafasi ni chache...
ujumbe umefikaFotogenge...!!!!
Fotogenge...!!!!
hahaha O ya escrow na ya k/koo tofauti.....
duh aiseee watu wanagawana hela kwenye mifuko ya rambo duh...............BRING BACK OUR MONEY
Sijui kama zitarudi mana maccm yoote wezi hakuna wa kumfunga mwenzie kengele na ndio mana wanakaa vikao vyao mpaka usiku wa manane kama wanga kujipanga jinsi ya kujibu mapigo ya ripoti sijui watanzania nani katuloga huu ndio wakati wa kuchinjia kuku baharini.
alafu wanajitetea; hata bila kujitetea hizo kwa nini mgawane?
Umeshindwa kabisa ku-edit hiyo photoshop yako?Ruti mpya ya kutoka Tegeta escrow hadi kariakoo sasa yaanzishwa rasmi, hii ni mahususi kwa ajili ya kuienzi kamati ya PAC pamoja na Kafulila kwenye sakata hili la wizi wa fedhaView attachment 206040
Umeshindwa kabisa ku-edit hiyo photoshop yako?
Huoni kama neno K/KOO limeandikwa kwa "font" za Arial wakati T/ESCROW lipo kwenye "font" za Times New Roman...
Haaa nakuja mkuu nna experience nlianza kuendesha magari ya mabati nlivyokua mdogo hata ya mabua pia nko fiti hii hela si yakuachia![]()
Hesabu kwa siku Nahitaji Bilioni 1.6! Kama wewe ni dereva mzuri na unahitaji Ajira hii, Fika katika Ofisi za IPTL, PAC, PAP, Jengo la Taifa, Dodoma Tanzania.
Wahi sasa nafasi ni chache...