ESCROW ililenga Muhongo na kuangusha serikali

ESCROW ililenga Muhongo na kuangusha serikali

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,209
Kashfa hewa ya Escrow ilibuniwa kwa lengo la kubwa la kwanza kumng`oa waziri Muhongo na la pili ilikuwa kuiangusha serikali.

Naomba nichukue nafasi binafsi kuwashukuru washika mikoba ya utawala wazee wa Dar es salaam, washika nchi waliomeza nembo ya taifa na washika kifimbo cha mwalimu Nyerere kwa kuhakikisha nchi inabaki salama .

Shukrani sana na asanteni kwa kazi nzuri
 
Kashfa hewa ya Escrow ilibuniwa kwa lengo la kubwa la kwanza kumng`oa waziri Muhongo na la pili ilikuwa kuiangusha serikali.

Naomba nichukue nafasi binafsi kuwashukuru washika mikoba ya utawala wazee wa Dar es salaam, washika nchi waliomeza nembo ya taifa na washika kifimbo cha mwalimu Nyerere kwa kuhakikisha nchi inabaki salama .
Shukrani sana na asanteni kwa kazi nzuri
Hilo liko wazi. Ni mpango wa Reginald Mengi kumsulubu adui wake
 
Hivi Watu Kama huyu mleta mada..when will they ever start growing up waandike senses? Kila ukisoma band iko lake..you clearly see something missing..

ngoja huyu asituharibie maandilizi ya mapumziko....
 
Hivi Watu Kama huyu mleta mada..when will they ever start growing up waandike senses? Kila ukisoma band iko lake..you clearly see something missing..

ngoja huyu asituharibie maandilizi ya mapumziko....
Mkuu, ni kwa sababu kaandika mambo ambayo hayakufurahishi
 
Hivi Watu Kama huyu mleta mada..when will they ever start growing up waandike senses? Kila ukisoma band iko lake..you clearly see something missing..

ngoja huyu asituharibie maandilizi ya mapumziko....
Unachekesha sana wewe, kwa sababu amesema ukweli?
 
Kashfa hewa ya Escrow ilibuniwa kwa lengo la kubwa la kwanza kumng`oa waziri Muhongo na la pili ilikuwa kuiangusha serikali.

Naomba nichukue nafasi binafsi kuwashukuru washika mikoba ya utawala wazee wa Dar es salaam, washika nchi waliomeza nembo ya taifa na washika kifimbo cha mwalimu Nyerere kwa kuhakikisha nchi inabaki salama .
Shukrani sana na asanteni kwa kazi nzuri
Siku ikitokea mungu akamchukua mengi nchi hii itapumzika alikuwa ametenga fungu kubwa kuhakikisha muhongo anaondoka na kuivuruga serikali jambo la kushukuru huko serikalini pia kunawatu wenye akili kwahiyo wamecheza nalo vema mengi alaaniwe.
 
Hivi Watu Kama huyu mleta mada..when will they ever start growing up waandike senses? Kila ukisoma band iko lake..you clearly see something missing..

ngoja huyu asituharibie maandilizi ya mapumziko....
Kama akili yako ndogo unaweza kuona kama amekosea lakini ukiwa na akili zenye kuona mbali utaona ukweli wake juu ya alichoandika.
 
hivi huyu naye ni binadamu kabisaa? kwamba naye ana kichwa, ubongo, macho na viungo vingne kama walivyo binadamu wengine au huyu atakuwa species mpya ya binadamu?
 
uko sahihi mkuu ila serikali imekuwa smart na mengi chari
 
hivi huyu naye ni binadamu kabisaa? kwamba naye ana kichwa, ubongo, macho na viungo vingne kama walivyo binadamu wengine au huyu atakuwa species mpya ya binadamu?

vumilia mkuu hiyo ndo democracy yenyewe,usitukane hovyo watu kwanu hamfikirii sawa
 
hivi huyu naye ni binadamu kabisaa? kwamba naye ana kichwa, ubongo, macho na viungo vingne kama walivyo binadamu wengine au huyu atakuwa species mpya ya binadamu?
Nadhani utakuwa unamlenga mengi siyo?
 
Kashfa hewa ya Escrow ilibuniwa kwa lengo la kubwa la kwanza kumng`oa waziri Muhongo na la pili ilikuwa kuiangusha serikali.

Naomba nichukue nafasi binafsi kuwashukuru washika mikoba ya utawala wazee wa Dar es salaam, washika nchi waliomeza nembo ya taifa na washika kifimbo cha mwalimu Nyerere kwa kuhakikisha nchi inabaki salama .

Shukrani sana na asanteni kwa kazi nzuri

post ya kipumbavu, iliyokosa depth and any intelligence

You should hang yourself or rot in hell
 
Back
Top Bottom