mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, wale wangunishaji dot tumeshajua ile janja ya nyani
Haswa panapokaribia uchaguzi lazima wanaodai serekali walipwe madeni yao
Uchaguzi ule meremeta wakalipwa uchaguzi ule tena EPA wakalipwa uchaguzi ule IPTL kalipwa sasa uchaguzi huu tumlipe huyu mkulima.
Kidumu chama cha mapinduzi
Haswa panapokaribia uchaguzi lazima wanaodai serekali walipwe madeni yao
Uchaguzi ule meremeta wakalipwa uchaguzi ule tena EPA wakalipwa uchaguzi ule IPTL kalipwa sasa uchaguzi huu tumlipe huyu mkulima.
Kidumu chama cha mapinduzi