SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,836
- 1,846
JK ndo muasisi wa kugawa mabillion hapa nchini , Seth na Rugemarila wameiga tu.Kabla Kikwete hajaondoka, Tunamuomba CAG mpya afanye ukaguzi wa zile pesa za UMMA zilizopewa jina la MABILLION YA KIKWETE, ili tufahau yafuatayo
nawahakikishia mtabaki midomo wazi
- Je wanufaika walikuwa ni kina nani? kwa majina
- Jumla ni mabillioni kiasi gani waligawiana (naskia ni zaidi ya bill 60)?
- Je wamerejesha kiasi gani mpaka sasa
- je utaratibu ulifuatwa katika zoezi hili (vigezo na masharti)
nawahakikishia mtabaki midomo wazi