Wewe kama ulipeleka CV ama ulituma CV online ukishafika watakufanyia interview ya kujua kama unajitambua then wanakuambia kuwa CV yako wataipeleka kwa client kama akitokea kwa hiyo usije ukavunja kabati bure ndugu yangu,mimi mwenyewe washaniita kama miezi miwili imepita nikafanya nao bado nasubiri