kuku87
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 1,220
- 296
jamani nimepigiwa simu ya interview na erolink hata sikumbuki niliomba post gani na wala sijui nafikaje wameniambia wako masaki, kabla sijauliza yote hayo simu ilishakatwa na kujaribu kupiga nikaambiwa inatumika naomba kama kuna mtu amepigiwa anisaidie kuniambia ni post gani na ni sehemu gani masaki