GE2025 Ernest Mgawe: Ajenda ya No reforms no Election imeitikisa serikali

GE2025 Ernest Mgawe: Ajenda ya No reforms no Election imeitikisa serikali

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Kibamba Ernest Mgawe amesema ajenda ya No reforms no Election imeitikisa serikali bila kupepesa, lakini watu wanaibeza ajenda hii lakini mimi niwapongeze viongozi wangu wa chama kuendelea kuisimamia

 
Naona mmeamua
Kujifariji na kujiliwaza.

.No Reforms, No Election imekufa, na imekufa tarehe 03 August 2025 baada ya Rais kuvunja bunge…

Kwa hiyo mnakubali uchaguzi unafanyika.
 
Kwahio hio ndio ilikuwa Motive na Mission Accomplished ? Yaani mpaka miaka mitano tena ili tuanze ?
 
Naona mmeamua
Kujifariji na kujiliwaza.

.No Reforms, No Election imekufa, na imekufa tarehe 03 August 2025 baada ya Rais kuvunja bunge…

Kwa hiyo mnakubali uchaguzi unafanyika.
Reforms no zitafanyika kabla ya uchaguzi na CDM itashiriki uchaguzi
 
Naona mmeamua
Kujifariji na kujiliwaza.

.No Reforms, No Election imekufa, na imekufa tarehe 03 August 2025 baada ya Rais kuvunja bunge…

Kwa hiyo mnakubali uchaguzi unafanyika.
Visungura siyo pombe mkuu
 
Naona mmeamua
Kujifariji na kujiliwaza.

.No Reforms, No Election imekufa, na imekufa tarehe 03 August 2025 baada ya Rais kuvunja bunge…

Kwa hiyo mnakubali uchaguzi unafanyika.
Naomba tukio la kuvunjwa Bunge tarehe tajwa?
 
Naona mmeamua
Kujifariji na kujiliwaza.

.No Reforms, No Election imekufa, na imekufa tarehe 03 August 2025 baada ya Rais kuvunja bunge…

Kwa hiyo mnakubali uchaguzi unafanyika.
OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE ENDA KUPIGA KURA
OLE WAKE MWALIMU ATAKAYE SIMAMIA UCHAGUZI
OLE WAKE MGAMBO ATAKAYE SIMAMIA UCHAGUZI

NO REFORMS NO ELECTION
 
20250729_010133.jpg
 
Pale sungura anapoingia katika meli yenye uwezo wa tani milioni tatu halafu anatamba meli imetikisika
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Kibamba Ernest Mgawe amesema ajenda ya No reforms no Election imeitikisa serikali bila kupepesa, lakini watu wanaibeza ajenda hii lakini mimi niwapongeze viongozi wangu wa chama kuendelea kuisimamia

Mziki ni mzito, mpaka ccm inaenda kushindana na chauma na ACt , msione mbwembwe za juu juu, hili pigo sio la kitoto, mpaka sasa hawajui what next, hesabu zote zimegoma mpaka sasa ,chadema 5 ,ccm 0
 
OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE ENDA KUPIGA KURA
OLE WAKE MWALIMU ATAKAYE SIMAMIA UCHAGUZI
OLE WAKE MGAMBO ATAKAYE SIMAMIA UCHAGUZI

NO REFORMS NO ELECTION
Unatoka tamko huku umejificha chumbani kwako na Tecno yako.
 
Back
Top Bottom