PreGE2025 Eric Shigongo: Mama Samia amekubali kutoa milioni 40 kujenga mradi wa maji Nyehunge

PreGE2025 Eric Shigongo: Mama Samia amekubali kutoa milioni 40 kujenga mradi wa maji Nyehunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Nipe Maji

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2025
Posts
335
Reaction score
190
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema mtu yeyote asiwagombanishe wananchi kwa sababu wakigawanyika hakuna maendeleo yanayoweza kufanikiwa.

Shigongo amesema atatangulia mbele ya wananchi waliomchagua na kwamba kama ni kuumia, yupo tayari kuumia kwanza kabla ya wananchi wake wa Buchosa waliompa dhamana ya kuwaongoza.

Amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi bilioni 40 ili kujenga mradi mkubwa wa maji Nyehunge ili kutatua changamoto ya maji katika jimbo hilo.


:
 
Mbunge mpumbavu tu ndiyo anaweza kutoa kauli kama hiyo. Rais hatoi fedha, hizo ni fedha za Kodi zetu. Serikali kupeleka huduma kwa wananchi siyo hisani.

Hivi hiki chama cha ccm mbona hakiishiwi wapumbavu?
 
Ila saiv uchawa umezidi jamani mpaka kwa watu usiowatarajia mambo wanayoyazungumza unajiuliza mara mbili mbili
 
Ila saiv uchawa umezidi jamani mpaka kwa watu usiowatarajia mambo wanayoyazungumza unajiuliza mara mbili mbili
jamaa anacheza kama sterling kwenye yale mastori yake

#NoReformsNoELection
 
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema mtu yeyote asiwagombanishe wananchi kwa sababu wakigawanyika hakuna maendeleo yanayoweza kufanikiwa.

Shigongo amesema atatangulia mbele ya wananchi waliomchagua na kwamba kama ni kuumia, yupo tayari kuumia kwanza kabla ya wananchi wake wa Buchosa waliompa dhamana ya kuwaongoza.

Amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi bilioni 40 ili kujenga mradi mkubwa wa maji Nyehunge ili kutatua changamoto ya maji katika jimbo hilo.


View attachment 3322352:
Hopeless
 
Fedha zote ni za Umma ambaozo TRA wanazikusanya kutoka kwetu kama kodi - acha kupotosha wananchi.
 
Back
Top Bottom