Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 10,500
- 17,554
Basi wewe ni zwazwa mkuuUturuki
Basi wewe ni zwazwa mkuuUturuki
Anaota ndoto za mchana huyoLini hiyo?!
Kwa taarifa yako now America watu weusi wanaish kwa amani kuliko huko Turkey kwa mabwana zakoUnajitoa ufahamu mkuu 😀😀
Kwa taarifa yako now America watu weusi wanaish kwa amani kuliko huko Turkey kwa mabwana zako
Basi wewe ni zwazwa mkuu
Huo uandishi wa tu halafu unaandika tyu watoto wa kike ndio naona unawafaa sana labda kama na wewe mdada fresh hila kama mwanaume haijakaa poa
hakika!Naona marekani amechelewa sana kumpiga vikwazo uturuki,kuna msururu wa mambo mengi sana uturuki anamtunishia marekani na USA amekaa kimya,baada ya kutungua ndege ya urusi walisalimu amri kwa Putin iwe kwa USA?hyo ni jeuri tyu na muda utasema