Epuka utapeli huu Facebook

Epuka utapeli huu Facebook

ochu hulker

Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
18
Reaction score
5
Ndugu zanguni siku hizi katika mtandao wa Facebook kuna utapeli mtindo wanaotumia ni huu na mara nyingi hawa ni watu kutoka ktika nchi za magharibi mtindo wenyewe ni huu. Anakutumia msg inbox kwamba amependa profile yako na angependa muendelee kuwasiliana kwa kutumia email na anakutumia email yake na wewe anaomba umtumie email yako na ukishamtumia email yako anakutumia historia ya uongo kuhusu maisha yake kwamba "yeye ni msichana anayeishi katika kambi ya wakimbizi kama mkimbizi wa kivita lakini Baba yake ni meneja katika kampuni moja kubwa na ana pesa sana na anataka kumtumia pesa lakini yeye hana akaunti ya benki kwa hiyo anakuomba wewe umtumie namba ya akaunti ya benki ili baba yake atume perj kupiti akaunti yako.Na nasikia ukishamtumia hiyo akaunti anakuibia pesa katika akaunti yako.Sifa za kujua msg yao n kama zifuatazo.Hukutumia msg bila bila kukuomba urafiki,Huweka profile picha ya mwanamke mzuri na huwa ni moja tu, Huwaga na marafiki wachache sana na Pia hutumia kiingereza chepesi sana ambacho mtu mwenye kichwa kibovu uelewa kwa uwepesi na mwisho nchi wanazoandika wanaishi ni za kutoka afrika magharibi katika miji mikuu.NINA MSG KAMA HIZO KAMA 10 MWISHO LEO NIMETUMIWA.
 
Utapeli huu ni wakizamani kabla hata ya facebook.. Enzi za mig33 n.k
 
Hata mimi nilishapata message kama hiyo nikamwambia sina akaunti wala muda huo hakurudia tena. Ni utapeli wa chini kabisa kuwahi kuujua.
 
Ndugu zanguni siku hizi katika mtandao wa Facebook kuna utapeli mtindo wanaotumia ni huu na mara nyingi hawa ni watu kutoka ktika nchi za magharibi mtindo wenyewe ni huu. Anakutumia msg inbox kwamba amependa profile yako na angependa muendelee kuwasiliana kwa kutumia email na anakutumia email yake na wewe anaomba umtumie email yako na ukishamtumia email yako anakutumia historia ya uongo kuhusu maisha yake kwamba "yeye ni msichana anayeishi katika kambi ya wakimbizi kama mkimbizi wa kivita lakini Baba yake ni meneja katika kampuni moja kubwa na ana pesa sana na anataka kumtumia pesa lakini yeye hana akaunti ya benki kwa hiyo anakuomba wewe umtumie namba ya akaunti ya benki ili baba yake atume perj kupiti akaunti yako.Na nasikia ukishamtumia hiyo akaunti anakuibia pesa katika akaunti yako.Sifa za kujua msg yao n kama zifuatazo.Hukutumia msg bila bila kukuomba urafiki,Huweka profile picha ya mwanamke mzuri na huwa ni moja tu, Huwaga na marafiki wachache sana na Pia hutumia kiingereza chepesi sana ambacho mtu mwenye kichwa kibovu uelewa kwa uwepesi na mwisho nchi wanazoandika wanaishi ni za kutoka afrika magharibi katika miji mikuu.NINA MSG KAMA HIZO KAMA 10 MWISHO LEO NIMETUMIWA.

Hiyo ni kweli kabisa. Tuwe makini. Lakini pia hebu nisaidieni anawezake kutoa hizo pesa kwenye accaunt yangu?. Naomba ufafanuzi kidogo
 
Hiyo ni kweli kabisa. Tuwe makini. Lakini pia hebu nisaidieni anawezake kutoa hizo pesa kwenye accaunt yangu?. Naomba ufafanuzi kidogo

Jaribu kumtumia account yako azikombe halafu ndiyo utajua jinsi anavyoweza kuzitoa.
 
Hiyo ni kweli kabisa. Tuwe makini. Lakini pia hebu nisaidieni anawezake kutoa hizo pesa kwenye accaunt yangu?. Naomba ufafanuzi kidogo

Huu ni utapeli wa zamani kweli kweli! Yaani tangu internet inaanza anza! Ukiona wamempata mtu ujue huyo mtu ni mgeni KABISA wa maMbo ya internet! Anajifanya anataka kuingiza fedha kwenye account yako lakini kwanza inabidi utoa ada ndogo ya kulipia gharama!
 
Nimepata kama hii jana tu, wameweka picha ya bonge la demu amepozi kwenye sofa, nimetumiwa nyingi sana hawajanipata na hawatanipata maana sina tamaa ya utajiri wa haraka. asante kwa taarifa
 
mimi nimetumiwa tena jana. Kumbe tapeli ?. kutokuja kizungu kumenisaidia maana sikumjibu chochote
 
Back
Top Bottom