Epuka mambo haya kama unataka kuwa mjasiriamali

wamilazo1

New Member
Oct 31, 2021
3
7
Asilimia kubwa ya watu wengi tuna ndoto za kuwa mjasiriamali

asilimia kubwa ya watu wengi wana ndoto ya kujiajili na kumiliki biashara zao wao wenyewe. Kila mwenye ndoto ya kuwa mjasiriamali hasa katika biashara ana malengo au wazo la kuanza biashara flani ila katika hili wachache hutimiza ndoto zao za kufanya biashara na walio wengi huishia kuwa matajiri wa ndoto na malengo.

Hii ni changamoto na hakuna mda wa kusubiri kulichukulia hatua na kuliondoa moja kwa moja katika ubongo wako.

Chukua hii

1. Acha tabia ya kuhairisha mambo

Baadhi ya watu ukiwauliza kwanini huanzi biashara angali mtaji unao
Utajibiwa "sijui nifanye biashara gani". Huyu kabla hajapata kiasi cha mtaji alikuwa anaomba kwa mungu angalau apate kiasi flani aanzishe biashara flani

Chakushangaza baada ya kupata mtaji. Kabadilika na kuona wazo lake la biashara sio sahihi kutokana na sababu alizojiwekea ndugu yangu anza sasa hakuna biashara isiolipa ila tu inatokana na mfumo utakaojiwekea kuifanya biashara yako, ukiwa na tabia kama hii ya kuharisha mambo utaishia kutafuta hera ya mtaji kila siku na malengo yasiokuwa na mwisho.

2. Acha tabia ya kusubiri

Kumbuka hapo ulipo ni matokeo ya jana. Na usipoweka mkakati wa leo basi kumbuka kesho hutafika kule unakotarajia utaishia kukaa hapohapo ulipokaa.

Acha tamaa ya kutaka kuruka ingari hata kutambaa huwezi Kiasi ulichokipata baada ya kuweka akiba ndio uwezo wako wa mwisho. Anza sasa kabla hakijapungua. Huwezi kuanza kuruka kama hujui kutambaa
Hakuna ujasiriamali kwa mtu anaetaka kufanya biashara kubwa kabla ya ndogo ingari kipato chake hakiruhusu kwa mda huo. Anza sasa

3. Epuka kuishi bila malengo

Kumbuka mafanikio ni mchakato na mkakati wa mda mrefu Kama kupato chako ni kidogo. Acha matumizi yasio ya lazima. Anza kuweka akiba sasa
Hakika hautofanana na yule anaesubiri kipato chake kiongezeke ndipo aanze kuweka akiba. Sawa na kusubiri embe chini ya mpapai.

Hakuna kuongezeka kipato bila ya wewe mwenyewe kuanza kujiongeza
Ukianza leo kuweka akiba unaingia mojamoja kwa moja katika njia ya mafanikio na ndoto Zetu.Anza safari sasa na kuweka malengo na mikakati maalumu.

Ahsante Mr Aliburu
 
Nimeelewa vyema nasubilia urudi online unikopeshe mtaji niingie kwenye utekelezaji
 
Umenena vema. Ila biashara si kwa kila mtu, wengine hawajui hata umuhimu wa kufanya biashara.
 
Nimeelewa vyema nasubilia urudi online unikopeshe mtaji niingie kwenye utekelezaji
Mtaji wa kwanza ni akili yako na sio pesa. Ukipewa pesa usiyoitolea jasho itapotea tu tena bila kujifunza chochote, ila ukitumia akili ndogo na ukapoteza pesa uliyoitolea jasho hakika kuna kitu kikubwa utajifunza.

Ndio maana principle ya mafanikio kifedha (japo sio genuine) ipo hivi

1. Jinyime ili utunze fedha (savings)
2. Ikifika kiasi kadhaa ambacho kinatosha kuanza biashara kama mtaji anza.
3. Endelea kufanya savings kama mwanzo(1) usiache kujinyima, pia faida utakayoipata asilimia 10 endelea kuongeza kwenye savings za awali. Kilichobaki (90%) ongeza kwenye mtaji.

Naamini hela unayopata kwa kujinyima, kwa kuisotea kwa jasho na damu huwezi kuipoteza kizembe.

Mtaji wa kwanza ni akili yako. Wekeza kwenye kutafuta maarifa ya kuishi na pesa kabla hujazipata.
 
Asilimia kubwa ya watu wengi tuna ndoto za kuwa mjasiriamali

asilimia kubwa ya watu wengi wana ndoto ya kujiajili na kumiliki biashara zao wao wenyewe. Kila mwenye ndoto ya kuwa mjasiriamali hasa katika biashara ana malengo au wazo la kuanza biashara flani ila katika hili wachache hutimiza ndoto zao za kufanya biashara na walio wengi huishia kuwa matajiri wa ndoto na malengo.

Hii ni changamoto na hakuna mda wa kusubiri kulichukulia hatua na kuliondoa moja kwa moja katika ubongo wako.

Chukua hii

1. Acha tabia ya kuhairisha mambo

Baadhi ya watu ukiwauliza kwanini huanzi biashara angali mtaji unao
Utajibiwa "sijui nifanye biashara gani". Huyu kabla hajapata kiasi cha mtaji alikuwa anaomba kwa mungu angalau apate kiasi flani aanzishe biashara flani

Chakushangaza baada ya kupata mtaji. Kabadilika na kuona wazo lake la biashara sio sahihi kutokana na sababu alizojiwekea ndugu yangu anza sasa hakuna biashara isiolipa ila tu inatokana na mfumo utakaojiwekea kuifanya biashara yako, ukiwa na tabia kama hii ya kuharisha mambo utaishia kutafuta hera ya mtaji kila siku na malengo yasiokuwa na mwisho.

2. Acha tabia ya kusubiri

Kumbuka hapo ulipo ni matokeo ya jana. Na usipoweka mkakati wa leo basi kumbuka kesho hutafika kule unakotarajia utaishia kukaa hapohapo ulipokaa.

Acha tamaa ya kutaka kuruka ingari hata kutambaa huwezi Kiasi ulichokipata baada ya kuweka akiba ndio uwezo wako wa mwisho. Anza sasa kabla hakijapungua. Huwezi kuanza kuruka kama hujui kutambaa
Hakuna ujasiriamali kwa mtu anaetaka kufanya biashara kubwa kabla ya ndogo ingari kipato chake hakiruhusu kwa mda huo. Anza sasa

3. Epuka kuishi bila malengo

Kumbuka mafanikio ni mchakato na mkakati wa mda mrefu Kama kupato chako ni kidogo. Acha matumizi yasio ya lazima. Anza kuweka akiba sasa
Hakika hautofanana na yule anaesubiri kipato chake kiongezeke ndipo aanze kuweka akiba. Sawa na kusubiri embe chini ya mpapai.

Hakuna kuongezeka kipato bila ya wewe mwenyewe kuanza kujiongeza
Ukianza leo kuweka akiba unaingia mojamoja kwa moja katika njia ya mafanikio na ndoto Zetu.Anza safari sasa na kuweka malengo na mikakati maalumu.

Ahsante Mr Aliburu
Haya yoote tunayajua
 
Mtaji wa kwanza ni akili yako na sio pesa. Ukipewa pesa usiyoitolea jasho itapotea tu tena bila kujifunza chochote, ila ukitumia akili ndogo na ukapoteza pesa uliyoitolea jasho hakika kuna kitu kikubwa utajifunza.

Ndio maana principle ya mafanikio kifedha (japo sio genuine) ipo hivi

1. Jinyime ili utunze fedha (savings)
2. Ikifika kiasi kadhaa ambacho kinatosha kuanza biashara kama mtaji anza.
3. Endelea kufanya savings kama mwanzo(1) usiache kujinyima, pia faida utakayoipata asilimia 10 endelea kuongeza kwenye savings za awali. Kilichobaki (90%) ongeza kwenye mtaji.

Naamini hela unayopata kwa kujinyima, kwa kuisotea kwa jasho na damu huwezi kuipoteza kizembe.

Mtaji wa kwanza ni akili yako. Wekeza kwenye kutafuta maarifa ya kuishi na pesa kabla hujazipata.
Haya yoote kila mtu anayajua
 
Haya yoote kila mtu anayajua
Ahsante. Ndugu. ila kumbuka
Unachokifanya wewe au unachokijua wewe.
Usijione wa kwanza kuwaza hicho kitu au kufanya hicho kitu
Maelfu ya watu wanalijua hilo jambo
ila wachache tu wamefaidika nacho
Chukua hii "chanzo cha mafanikio ni kufanya sio kuwaza kifikra". Fikra kila mtu anazo ila mafanikio huja tofauti tofauti hutegemea na njia uliyopita.
Ndomaan tunajaribu kuhamasishana,...

Unachokijua wewe ndicho anachokijua yule
Hii haimaanishi mkipewa karatasi ya maswali mtapata alama sawa never .
 
Back
Top Bottom