Epuka Dialysis

Epuka Dialysis

Papillon 1906

Senior Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
117
Reaction score
387
Wakati Figo zimeshindwa kufanya kazi yake. Dayalisisi ni njia ya bandia ya kutoa uchafu na maji yasiyohitajika mwilini. Njia bora ya kuokoa maisha kwa watu ambao Figo zao zimedhoofika kabisa.

Kazi ya Dayalisisi kwa magonjwa wa figo:-
-kusafisha damu kwa kutoa uchafu kama kreatinini na yulea mwilini.
-kutoa maji yasiyohitajika mwilini na kusawazisha kiwango kinachofaa mwilini.
-kurekebisha usawa wa kemikali kama chumvi, potassium na magadi mwilini.

AVOID
-salt
-sugar
-junk foods
-stress
-sitting for too long
-alcohol
-processed food
-saturated fats(fry and packed foods)
-cheese

MORE
-fiber
-exercise
-fruit
-sleep
-baking soda
-vitamin D3 + K2
-water
-Diuretic food
-Garlic and red onion
-turmeric and black pepper
-probiotics.

Gharama ya kufanya dayalisisi 180,000-200,000/= kwa mzunguko mmoja, na kwa wiki unatakiwa kufanya si chini ya mara mbili.

_20250728_094725.JPG
 
Hii Ngoma iskie tu kwa jirani, ni kama msiba Kuna figo,ini,mapafu,kisukari,shinikizo la damu, maradhi ya moyo, n.k haya hayaambukizi ni magonjwa mabaya sana yanajizalisha yenyewe ndani ya miili yetu,
 
Shukrani sana, Mada nzuri.

Nimependa umeshauri tule vyakula gani sio kama janabi anakwambia usile ugali, ndizi, chipsi wala wali na hashauri tule nn
 
Kivipi na nimeepuka
Kwa sababu mtu aliyefikia uhitaji wa hiyo huduma amefikia kiwango ambacho mlo au lishe na mazoezi pekee haviwezi kusaidia kuondoa sumu zote bila mashine.
Ikiwa umekutwa na shida ya figo kabla ya Hali mbaya mozoezi, vyakula na vinywaji alivyotaja vinaweza kuthibiti tatizo ukaepuka dialysis.
 
Kwa sababu mtu aliyefikia uhitaji wa hiyo huduma amefikia kiwango ambacho mlo au lishe na mazoezi pekee haviwezi kusaidia kuondoa sumu zote bila mashine.
Ikiwa umekutwa na shida ya figo kabla ya Hali mbaya mozoezi, vyakula na vinywaji alivyotaja vinaweza kuthibiti tatizo ukaepuka dialysis.
Nimekupata
Asante
 
Back
Top Bottom