Mr Sanguine
Member
- Dec 29, 2017
- 77
- 44
- Thread starter
- #21
Ukifanya reset haisumbui? Maana Kuna nyingine unatakiwa uwe na reset key
Errors ni za kawaida, isipokuwa kwa vile hizo model hazina screen hivyo haziwezi kuonesha error kwenye printer yenyewe , itablink tu kiaina fulani kutegemea na error ila kwenye computer kuna utility yake inayo minitor status ya printer n andio itakuwa inakupa maelezo ya error.
pia printer za aina hii kama epson ukiprint pages kadhaa kama 1000 hivi inahitaji kuReset counter. Google kitu kinaitwa WIC RESET inahusisha almost printer zote za epson.