Aliyewahi kuwa kocha waTanzania Emanuel Amunike alishasema miaka mingi iliyopita Feisal Salum anastahili kukipiga pale Barcelona ya Spain.
Wewe mleta Mada nikama unarudia tu ila wanao lijua Soka kuanzia kucheza mbaka kufundisha katika Level za kimataifa kama Coach Amunike walisha liona ilo.