Shadida Salum
Journalist at JamiiForums
- Sep 11, 2020
- 69
- 104
N baada ya kujinyakulia alama zote 15 kwenye michezo mitano, Chelsea hii leo imeambulia alama 1 baada ya mchezo wake dhidi ya Southampton kumalizika kwa sare ya 1-1.
Kwa matokeo hayo Chelsea anasalia katika nafasi ya nne akiwa na alama 43 ikiwa ni alama 13 nyuma ya anayeongoza msimamo wa ligi hiyo ambaye ni Manchester city mwenye alama 56.