Sijakupata kiongozi,kupoaje tena,ebu tiririkaaa!!
Lowassa ndio Rais ajaye.... No way out
I couldn't say it better, you're spot on!Dah! we jamaa shost umechambua mada hii vizuri.
watu wanajiuliza...je Lowasa akishinda atakabidhiwa nchi??? Hapo napo jibu ni rahisi.............NDIO!!!!
Utakumbuka kuwa EL na JK walishahaidiana kuwa 2015 ni EL.....ila mimi sio mchambuzi sana, ila hii arcade ya kuonyesha JK na EL wamegombana, watakuwa wameipanga wao.
Waliona kama wangefikia kura za maoni wakiwa pamoja, na EL kushinda kuwa mgombea CCM, basi wajumbe wengine wangeona kuwa hii nchi imekuwa ya kukabidhiana marafiki.....upinzani na mpasuko ungejkuwa mkubwa sana ndani ya CCM....
Ila tutambue kuwa wengi wa wajumbe wanaomuunga mkono, wamemuunga mkono, ikiwa nipamoja na kumuonea huruma EL na mapenzi yao kwao...lakini amini nakwambia,,,,LOWASA NA KIKWETE HAWAJAGOMBANA!!!
Huu ni mchezo......
Kura yangu kwa UKAWA