Enziiii za Mwalimu

mimi hata sielewi kwanini kikwete anashindwa kuwaunganisha watanzania naona kama tatizo ni dogo sana na ana uwezo kabisa wa kulirekebisha ila tu hataki au amekua mwoga!yaani nguvu ya pesa imemtawala zamani tuliishi maisha ya raha sana tulipendana na kuheshimiana kama ndugu kuliko sasa mwenye pesa ndiye anayeheshimika!
tutamkumbuka sn mwalimu kwani alikuwa na akili nying na ali2uunganisha watz kupitia shule sio huyu kijeba kikwete anayewagawa watz kwa ari zaid nguv zaid na kasi zaid kupitia dini na shule za kata
 
hahaaaaaaa mashamba ya matogoro nayajua sababu nimesoma pale na tumelinda sana yale mashamba dah umenikumbusha mbali kambi ya jeshi chandamali yaani mimi songea sio home ila nimesoma ttc pale na nimeishi sana kule na kucheza mipira vijijini na pale town kuna timu ilikua inaitwa Bogota unaikumbuka?

mkuu nilikua songea kuanzia 84 mpaka 86 nikahamia morogoro. nilikwepo SONGEA wakati maji maji ipo juu na kulikuwa na timu ya RTC wakati ule ilikuwa ligi daraja la pili. namkumbuka deadly striker wao akiitwa KIDIMBE goalie akiitwa JORDAN ne beki mbili yao akiitwa NDUMBARO. Wacha ya majimaji hii RTC ILIKUWA saafi saana jamaa walikuwa wanajifua kuanzia saa tisa mchana jua kali ikifika saa kumi na mbili mazoezi yameisha. timu ya wahuni pale mjini ilikuwa inaitwa OLYMPIC wapiga ganja wote wa town walikuwepo hapo so wakati wa bogota sikwepo. nikirudi tena kunyumba 95 nikakuta timu mbili pale town wauza mitumba wakijiita business au biznesi na timu nyingine ikiitwa MCHELE wafanya biashara ya mchele haoo zote zilikuwa ligi daraja la tatu. primary raha nyie acheni tuu pale JANGWANI primary sumbawanga nikiwa kwenye timu ya darasa la pili kila mapumziko tunacheza na std three sasa kuna jamaa alikuwa std three akiitwa evodi jamaa alikuwa anapiga chenga balaa na watu waliamini huwezi kumpiga chenga kuna siku tuliwapiga bao tatu mbili bao la ushindi nililipiga mwenyewe baada ya kumpiga chenga evodi na kumfunga golikipa goli la tobo sitisahau ile siku ilibadilisha kabisa muonekano wangu darasani.
 
kipindi hiko nipo mtwara shule ya ligula dah...mapumziko ya saa 4 mnachangachanga shimkumi'kumi mnaenda kula kashata na mabumunda,dah kuna jamaa mmoja akiitwa abilah,dah jamaa alikuwa m-babe kinoma,ye akibonda shule nzima,yaani ye mademu wote wake,alikuwa yeye haji na fagio,kwa iyo tunamchotea hadi fagio wake unakuwa mkubwa kuliko wote,na kuhusu kuwwahi namba ni lazima mtu achukue namba 2 moja ilikuwa yake...duh...tukishaanza 1 tach ile kengele ya madarasani ilikuwa inaniuzi kinyama...ila kikubwa ni kwamba najiuliza hivi kwanini wale jamaa wakiojifanya wababe,wanabonda shule nzima walikuwa vilaza sana,kwanini??yaai swala la mitihani likija tu,wao macho juujuu tu,majibu yakija ni namba za viatu tukama sio zero kabisa!!!khaa so fun enz zile
 
umenikumbusha timu ya mchele ni kweli ilikua darala la tatu halafu unamkumbuka celestine sikinde mbunga na dadi athman enzi hizo majimaji ilikua juu sana ilitoa vipaji vingi unajua kipindi kile kulikua na umisseta na umitashumta na umisavuta pia yaani michezo ilikua mingi sana sio kama sasa siasa zimetawala!
mkuu nilikua songea kuanzia 84 mpaka 86 nikahamia morogoro. nilikwepo SONGEA wakati maji maji ipo juu na kulikuwa na timu ya RTC wakati ule ilikuwa ligi daraja la pili. namkumbuka deadly striker wao akiitwa KIDIMBE goalie akiitwa JORDAN ne beki mbili yao akiitwa NDUMBARO. Wacha ya majimaji hii RTC ILIKUWA saafi saana jamaa walikuwa wanajifua kuanzia saa tisa mchana jua kali ikifika saa kumi na mbili mazoezi yameisha. timu ya wahuni pale mjini ilikuwa inaitwa OLYMPIC wapiga ganja wote wa town walikuwepo hapo so wakati wa bogota sikwepo. nikirudi tena kunyumba 95 nikakuta timu mbili pale town wauza mitumba wakijiita business au biznesi na timu nyingine ikiitwa MCHELE wafanya biashara ya mchele haoo zote zilikuwa ligi daraja la tatu. primary raha nyie acheni tuu pale JANGWANI primary sumbawanga nikiwa kwenye timu ya darasa la pili kila mapumziko tunacheza na std three sasa kuna jamaa alikuwa std three akiitwa evodi jamaa alikuwa anapiga chenga balaa na watu waliamini huwezi kumpiga chenga kuna siku tuliwapiga bao tatu mbili bao la ushindi nililipiga mwenyewe baada ya kumpiga chenga evodi na kumfunga golikipa goli la tobo sitisahau ile siku ilibadilisha kabisa muonekano wangu darasani.
 
hivi ni mwaka gani ule meimosi kitaifa ilifanyikia mtwara?miaka ile viongozi walikua na nidhamu sana
kipindi hiko nipo mtwara shule ya ligula dah...mapumziko ya saa 4 mnachangachanga shimkumi'kumi mnaenda kula kashata na mabumunda,dah kuna jamaa mmoja akiitwa abilah,dah jamaa alikuwa m-babe kinoma,ye akibonda shule nzima,yaani ye mademu wote wake,alikuwa yeye haji na fagio,kwa iyo tunamchotea hadi fagio wake unakuwa mkubwa kuliko wote,na kuhusu kuwwahi namba ni lazima mtu achukue namba 2 moja ilikuwa yake...duh...tukishaanza 1 tach ile kengele ya madarasani ilikuwa inaniuzi kinyama...ila kikubwa ni kwamba najiuliza hivi kwanini wale jamaa wakiojifanya wababe,wanabonda shule nzima walikuwa vilaza sana,kwanini??yaai swala la mitihani likija tu,wao macho juujuu tu,majibu yakija ni namba za viatu tukama sio zero kabisa!!!khaa so fun enz zile
 
Enzi za Mwl. ilikuwa tambarare sana, tulikuwa tunapelekwa kumpokea Mwl. saa nne barabarani na matawi ya miti, hatutoki mpaka anapopita saa kumi! Sasa hivi Mkwere anapita kama msanii, hakuna kumaind.

Nakumbuka viatu vizuri ukivaa ni raba za Bora Shoe na Chachacha!

Ila nilikuwaga napenda mchezo wa "tali bado" sijitokezi na ... mpaka nimetosha!
 
Enzi za Mwl. ilikuwa tambarare sana, tulikuwa tunapelekwa kumpokea Mwl. saa nne barabarani na matawi ya miti, hatutoki mpaka anapopita saa kumi! Sasa hivi Mkwere anapita kama msanii, hakuna kumaind.

Nakumbuka viatu vizuri ukivaa ni raba za Bora Shoe na Chachacha!

Ila nilikuwaga napenda mchezo wa "tali bado" sijitokezi na ... mpaka nimetosha!

Hahahaha! Dah mzee umenikumbusha mbali sana, Hizo bora shoes nilizivaa sana mpaka kuna wakati nilichezea mpira kabisaaa kwenye mechi ya darasa na darasa na chachacha nilizivaa sana nikienda kucheza watoto wenzangu, dah yale maisha yalikuwa matamu sana aisee!

Natamani atokee Kiongozi mwenye mawazo kama ya Kinyerere vile atengeneze mfumo wa maisha matamu kama enzi za mwalimu. Kweli UTU una thamani zaidi kuliko PESA.
 
sana nakuunga mkono sana man
Hahahaha! Dah mzee umenikumbusha mbali sana, Hizo bora shoes nilizivaa sana mpaka kuna wakati nilichezea mpira kabisaaa kwenye mechi ya darasa na darasa na chachacha nilizivaa sana nikienda kucheza watoto wenzangu, dah yale maisha yalikuwa matamu sana aisee!

Natamani atokee Kiongozi mwenye mawazo kama ya Kinyerere vile atengeneze mfumo wa maisha matamu kama enzi za mwalimu. Kweli UTU una thamani zaidi kuliko PESA.
 
Lazima ujifunze:

1. Sayansi Kimu
2. siasa
3. Sanaa
4.jiografia
5.hesabu
6.sayansi kilimo
7.sayansi
8.kiswahili



Wakati wa mapumziko lazima ucheze,

1. Mpira (Chandimu, one touchi, mputo)
2. Netboli na rede
3. Mdako
4. Bong'oa
5. Kula m'bakishie baba
6. Kubanjua Gololi
7.mnataniana kwa kutomoana
8.mnasimuliana movie za kihindi kina amithah bachan,mithun,chuck noris,amjed khan.
9.kucheza kiboleni

Msosi wakati wa mapumziko.

1. Mihogo ya kukaanga na chachandu
2. Aishiklimu
3. Barafu
4. Kashata
5. Bagia (za walimu)
6.vibama
7.gubiti
8.ubuyu wa rangi
9.ukwaju
10.visheti

nguo
1.unavaa kaptula 2 kuzuia maumivu ya viboko
2.unaweka daftari au gazeti ndani ya kaptura basi tigo ikionekana kubwa mwalimu anakuambia vua

du!!!umenikumbusha mbaaaali,nakumbuka enzi za kuhesabu vema na vizuri kwenye daftari!!!na walimu hawakuwa wachoyo wa kutoa hizo vizuri na vema!
 
hahaaaaaaa unaesabu tiki na vema pia kipindi kile mwalimu alikua anakaririsha table sana akiingia tu na bakola yake utasikia kilimasela tebo ya 7 duh nilikua napenda sana table ya 12 na 10 na ya 11 kwasababu zilikua rahisi sana
du!!!umenikumbusha mbaaaali,nakumbuka enzi za kuhesabu vema na vizuri kwenye daftari!!!na walimu hawakuwa wachoyo wa kutoa hizo vizuri na vema!
 
unakumbuka shule za msingi zilikua na bendi na ngoma na filimbi mpaka matarumbeta basi sikukuu za kuzaliwa chama,mapinduzi ya zanzibar uhuru wa tanganyika nk ilikua raha tupu maandamano wanafunzi na wafanyakazi tulikua kitu kimoja!
Enzi za Mwl. ilikuwa tambarare sana, tulikuwa tunapelekwa kumpokea Mwl. saa nne barabarani na matawi ya miti, hatutoki mpaka anapopita saa kumi! Sasa hivi Mkwere anapita kama msanii, hakuna kumaind.

Nakumbuka viatu vizuri ukivaa ni raba za Bora Shoe na Chachacha!

Ila nilikuwaga napenda mchezo wa "tali bado" sijitokezi na ... mpaka nimetosha!
 
Enzi za Mwl. ilikuwa tambarare sana, tulikuwa tunapelekwa kumpokea Mwl. saa nne barabarani na matawi ya miti, hatutoki mpaka anapopita saa kumi! Sasa hivi Mkwere anapita kama msanii, hakuna kumaind.

Nakumbuka viatu vizuri ukivaa ni raba za Bora Shoe na Chachacha!

Ila nilikuwaga napenda mchezo wa "tali bado" sijitokezi na ... mpaka nimetosha!


Mkuu umenikumbusha mbali mno maana tulikuwa tunakwenda na mahindi ya kuchemsha, karanga za kuchemsha na viazi vitamu vya kuchemsha

Zamani raha kweli siku hizi watoto wanakwenda na sausage na juicy enzi hizo vitoke wapi?? Pilau mpaka Christamas na Mwaka mpya au Pasaka
 
hapo sasa kwa mchanganyiko huo wa vyakula tumbo likijaa gesi mabomu utakayoyaachia class kila mtu atakimbia anakuachia dawati peke yako!
Mkuu umenikumbusha mbali mno maana tulikuwa tunakwenda na mahindi ya kuchemsha, karanga za kuchemsha na viazi vitamu vya kuchemsha

Zamani raha kweli siku hizi watoto wanakwenda na sausage na juicy enzi hizo vitoke wapi?? Pilau mpaka Christamas na Mwaka mpya au Pasaka
 
Nilikuwa sizipendi siku za Jumatatu na Alhamis kwani zilikuwa ni siku za ukaguzi(wa usafi).

Na siku za kawaida baadhi ya walimu wanoka wakiamua kufanya ukaguzi kwa asiyekuwa na fagia na dumu la kumwagilia maji, cha moto mtakiona.
Aisee na kuwahi namba pia ilikuwa inanikera mno.

umesoma kanda ya ziwa?
 
kaka nimesoma MAHENGE primary school pale jirani na TTC matogoro aah kaka imanikumbusha mbali sana hasa embe maji na embe bolibo halafu nilihamia pale std three nikitokea JANGWANI pr school SUMBAWANGA nikakutana na washkaji wamepinda kinoma walikuwa watoro wa shule vibaya mno wengine wakikaa sehemu inaitwa KWA KUCHILE nyuma ya kambi ya jeshi ya CHANDAMALI hawa walikuwa wataala mno wa kusepa so walikuwa km ishirini hivi wakiitwa KUCHILE LIST mara nyingi walikuwa wakija shule km kuna graduation au mechi kati ya shule na shule. HAWA JAMAA siku moja mchana wakaniambia twende tukale ndizi kwenye shamba la bibi mie na njaa yangu nikasepa nao kumbe lile shamba ni la chuo cha ualimu MATOGORO bwana weeee tukaingia swaafi nikakuta jamaa walishavundika ndizi long time so walikuwa wazoefu kule. tukatafuna km mkungu na nusu hivi mara mlinzi huyooooo tjatoka baluuu hao shuleeee kumbe yule mlinzi anatu track akaja shuleni kumbe alitushika vizuri tulivyo eeeh bana eeh zoezi la utambulisho lilipopita jamaa alitambua wanne kati ya sita tukabaki wawili tu wale waliotambuliwa ndo wakaaribu kabsaaaa wakatutaja na sisi duuuh tukala fimbo za kufa mtuu mbaya zaidi mza na yeye alikuwa mwalimu akifundisha shule nyingine taarifa zikamfikia dingi akapewa jukumu nikikula fimbo tenaaa home dah yaani toka siku hiyo nikabadilisha na marafiki hahaa

duh nimecheka leo mpaka machozi yananitoka jamani JF burudani kwa kweli sijuti kujiunga nayo dah.asante chimunguru kwa stor tamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom