Shem shem shem.
Haya,ila wewe ulikuwa hujazaliwa na wala ki-embryo hujawa.
Ndege ikiwa inapita angani unakimbia kuchukua sindano na kuinyoshea ukiwa na imani kuwa kwa kufanya hivyo itadondoka
mie nimezaliwa kipindi hakuna soda, siku za sikukuu tulikua tunatengenezewa juisi ya malimao au machenza....
wali maharage ndio ilikua habari ya mjini...
kuku alikuwa haliwi mpaka azeeke, kama ni jogoo mpaka atage yai
Hahahaha
shem mbavu zangu jamami.
mie nimezaliwa kipindi hakuna soda, siku za sikukuu tulikua tunatengenezewa juisi ya malimao au machenza....
wali maharage ndio ilikua habari ya mjini...
kuku alikuwa haliwi mpaka azeeke, kama ni jogoo mpaka atage yai
duh! u just made ma daySIJUI KAMA SIKU HIZI IPO HII!
1. Kupakwa GV kwenye kidonda
2. Kung'olewa jino kwa uzi
3. Ubwabwa kupikwa j2 tu
4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili'
5. Kupamba kadi sebuleni
6. Ukumbi wa sherehe kupambwa kwa toilet paper
7. Kunyolewa na mkasi
8. Kufunga pesa kwenye leso au pindo la kanga
9. Kwenda kuangalia sinema za Ukimwi na Lishe sokoni
10. Ku rewind kanda kwa peni
11. Ndala kuchemshwa ili zisiishe
12.Kucheza umeshikilia kaptula sababu mpira umekatika
13.Kuchonga penseli na meno
14. Kukata ndala, ati ni kifutio
15. Kunyolewa msalaba shuleni kisa nywele ndefu
16. Wewe unakumbuka nini...?
mademu wote chit chat lazima wataikumbuka hii HONGERA UMEVUNJA UNGO MJUKUU WANGU!