Enzi zile bwana

Shem shem shem.
Haya,ila wewe ulikuwa hujazaliwa na wala ki-embryo hujawa.

mie nimezaliwa kipindi hakuna soda, siku za sikukuu tulikua tunatengenezewa juisi ya malimao au machenza....
wali maharage ndio ilikua habari ya mjini...
kuku alikuwa haliwi mpaka azeeke, kama ni jogoo mpaka atage yai
 
mie nimezaliwa kipindi hakuna soda, siku za sikukuu tulikua tunatengenezewa juisi ya malimao au machenza....
wali maharage ndio ilikua habari ya mjini...
kuku alikuwa haliwi mpaka azeeke, kama ni jogoo mpaka atage yai

Hahahaha
shem mbavu zangu jamami.
 
We Preta kweli!? mie zote nimepitia ukiongezea na kununuliwa nguo mwezi wa tano unazitunza hadi xmas, kuongeza maji kwenye soda ili isiishe, kuanika juani battery za radio ili zipate nguvu

Hii ya kuongeza maji kwenye soda Madame B kaifanya sana....
 
Last edited by a moderator:
mie nimezaliwa kipindi hakuna soda, siku za sikukuu tulikua tunatengenezewa juisi ya malimao au machenza....
wali maharage ndio ilikua habari ya mjini...
kuku alikuwa haliwi mpaka azeeke, kama ni jogoo mpaka atage yai

Blenda mlikuwa mnatumia kinu?
 
mademu wote chit chat lazima wataikumbuka hii HONGERA UMEVUNJA UNGO MJUKUU WANGU!
 
duh! u just made ma day
 
Watu nakumbuka enzi zilee mdogo wangu aliagizwa soda fanta 2 za wageni yeye akaleta moja.alafu akaifungua jikoni akaigawanya mara mbili akachanganya na maji akawaletea wageni mama kucheck hivi akaguna mmh hizi soda vipi hizi leo mbona imepauka rangi jamani kumbana vizuri akasema nimetia maji lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…