Enzi hizoooo, kumbe Jamaa kaanzia mbali

Enzi hizoooo, kumbe Jamaa kaanzia mbali

Ishmael

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
15,039
Reaction score
6,018
11233487_1621809768065119_5197973805211760728_n.jpg
 
hivi hao wa pembeni sio waliompindua kweli?
 
enzi hizo za Tupac kila kijana alipagawa nae,hiyo miaka ya 90,wewe ulikua bado unanyonya.
Muulize Tupac nilikuwa wapi siku ile alipo toana maneno na Biggie pale Kings County, ndio utafahamu kuwa unaongea na Baba yako. Halafu muulize kwanini Run DMC especially DJ Run alikataa kufanya ile scratch pale Midtown.
 
Muulize Tupac nilikuwa wapi siku ile alipo toana maneno na Biggie pale Kings County, ndio utafahamu kuwa unaongea na Baba yako. Halafu muulize kwanini Run DMC especially DJ Run alikataa kufanya ile scratch pale Midtown.

ha ha ha,pastor kumbe na wewe umo eh........
 
Back
Top Bottom