Enyi Wanyiramba Mbona mnatutesa?

Mimi nashangaa sana Mwigulu Nchemba kwa nini amekua askari kanzu wa ugaidi dhidi ya cdm wakati cheo chake ni katibu mkuu msadizi wa ccm. Naona anaipeleka ccm pabaya.
 
Uuuuuwi!!! Kwanini Rama Ighondo na Mwigulu Nchemba mnatia aibu Mkoa wetu wa Singida?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…